Wanaume muoeni huyu dada

kazi yako nikukaa nakuangalia watu walioolewa na ambao hawajaolewa

punguza mawazo utakuja kuolewa tuu usijali


haina haja yakufanya utafiti na kujilinganisha Mungu atakusaidia utapata tu
Nyani wa mbele amuoni wa nyuma.

Kama siko sahihi mnirekebishe lakini ifanane na hii ya Nyani kutokuona kitu.
ahahaaa nani nyani hapa mkuu?
 
Kumtaja salim kikeke umeharibu huu uzi
 
Huu mtihani mgumu.mwenyew anajua lakin kama anatafutiwa mume?
 
mambo mengi,mazingira anayoishi ,tamaduni zao,kutojichanganya nadhani unaelewa ,pia wanaume kumuogopa

Sasa yote hayo kama yanamkinza basi ni zaidi ya kusema ni mcha Mungu. Na kama kweli anahitaji mume kwanini habadilishi hayo mazingira na kuanza kujichanganya? Anashikilia ye ni mcha Mungu? Mungu hasaidii wasiojituma.

Na kuhusu mazingira, anaonekana na dunia nzima. Surely haogopeki bali anajishtukia tu. Atakua mchaguaji sana. Sio kwamba kuchagua ni kubaya bali kuna kuchagua kupitiliza.

Lakini siamini eti hana hata boyfriend. Lazima anae ila ni msiri sana. Pengine hata ni mume wa mtu.
 
Labda hana mpango wa kuolewa! Watu wana siri zao... Usione hajaolewa ukadhani hamna alietaka kumuoa
 
Toa namba zake utaona majibu yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…