Wanaume muoeni huyu dada

Isha sesay Cnn....??
 
Mbona ameshaolewa mda mrefu tu, tena na mzungu.
 
Yule bint somebody zuhura wa bbc swahili
 
Hivi wewe mtu angekuja hapa na kuweka jina lako kuwa watu wakuoe maana hujaolewa ungejisikiaje Miss Natafuta ? Huko aliko kashaambiwa kuna topic yako jamii forums watu wanakujadili kwa nini hujaolewa.

Na usiseme hujataja jina maanake kila mtu anajua unamzungumzia nani.
 
ndo mumuoe sasa kwanini mdada mzuri vile mnamuacha
 
Mie nakutaka ww
 
Utetikisa kiberiti naona watakavyokujia pm uwape no
 
Huwa nampenda sana yule mdada hebu nipe contact zake nijaribu Bahati yangu kaaaah ,ingawa najua atakuwa kanizidi umri et ,mahaallah xuhura yunus
 
"I Wish I could be a man"

√hii kauli ya kitabe sana yani wengine wanaomba watoke huku waje kwenu we kimbele mbele chako eti nyie wanaume mnataka wanawake gani

√Hata Beyonce alivyoimba nyimbo yake ya " If I were a boy " ,then badaye anasema "I swear I will be a better Man , yani. wanazania wanaume wanachkua chkua tu wanawake

*then tena anasema katk ile nyimbo "I will listern to her [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…