KACHINJA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 1,263
- 869
sio diva atakuwa zuhura yunusiAtakuwa diva wa clouds
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio diva atakuwa zuhura yunusiAtakuwa diva wa clouds
Mh,si ni kubibi saizimi sijamtaja mtu bna ila muoeni huyu dada jamani
Isha sesay Cnn....??Ni mtangazaji wa shirika moja la habari duniani.
Wengi mnamfahamu sitaki kumtaja labda amtaje. That woman ni mzuri, ana adabu na heshima ni mchamungu ila hana hata boyfriend.
Msiniulize nimejuaje, I wish I could be a man! Nyie wanaume mnataka mwanamke wa aina gani jamani? ningekuwa na kaka ningemuozesha .
Nimewapa chimbo naombeni mrejesho..
Mbona ameshaolewa mda mrefu tu, tena na mzungu.Ni mtangazaji wa shirika moja la habari duniani.
Wengi mnamfahamu sitaki kumtaja labda amtaje. That woman ni mzuri, ana adabu na heshima ni mchamungu ila hana hata boyfriend.
Msiniulize nimejuaje, I wish I could be a man! Nyie wanaume mnataka mwanamke wa aina gani jamani? ningekuwa na kaka ningemuozesha .
Nimewapa chimbo naombeni mrejesho..
Yule bint somebody zuhura wa bbc swahiliNi mtangazaji wa shirika moja la habari duniani.
Wengi mnamfahamu sitaki kumtaja labda amtaje. That woman ni mzuri, ana adabu na heshima ni mchamungu ila hana hata boyfriend.
Msiniulize nimejuaje, I wish I could be a man! Nyie wanaume mnataka mwanamke wa aina gani jamani? ningekuwa na kaka ningemuozesha .
Nimewapa chimbo naombeni mrejesho..
Nami nahitaji jibuHivi Bi.Samia ana mume?
ni bikra acha uongo na kumchafulia dada wa watu mkuuNishapita pale
Mimi najitolea ni PM contact zake niko tayarihajaolewa mkuu hana hata mpenzi
ndo mumuoe sasa kwanini mdada mzuri vile mnamuachaHivi wewe mtu angekuja hapa na kuweka jina lako kuwa watu wakuoe maana hujaolewa ungejisikiaje Miss Natafuta ? Huko aliko kashaambiwa kuna topic yako jamii forums watu wanakujadili kwa nini hujaolewa.
Na usiseme hujataja jina maanake kila mtu anajua unamzungumzia nani.
Ikae hadi leo si itakomaa kama ngozi ya temboni bikra acha uongo na kumchafulia dada wa watu mkuu
how did you prove it.ni bikra mpaka sasa .
Mie nakutaka wwNi mtangazaji wa shirika moja la habari duniani.
Wengi mnamfahamu sitaki kumtaja labda amtaje. That woman ni mzuri, ana adabu na heshima ni mchamungu ila hana hata boyfriend.
Msiniulize nimejuaje, I wish I could be a man! Nyie wanaume mnataka mwanamke wa aina gani jamani? ningekuwa na kaka ningemuozesha .
Nimewapa chimbo naombeni mrejesho..
Huwa nampenda sana yule mdada hebu nipe contact zake nijaribu Bahati yangu kaaaah ,ingawa najua atakuwa kanizidi umri et ,mahaallah xuhura yunusNi mtangazaji wa shirika moja la habari duniani.
Wengi mnamfahamu sitaki kumtaja labda amtaje. That woman ni mzuri, ana adabu na heshima ni mchamungu ila hana hata boyfriend.
Msiniulize nimejuaje, I wish I could be a man! Nyie wanaume mnataka mwanamke wa aina gani jamani? ningekuwa na kaka ningemuozesha .
Nimewapa chimbo naombeni mrejesho..
Upo serious au unachangamsha genge?kama vipi nitumie contact za huyo bibie Zuhra Yunus..Ananifaa sana umri sio tatizo.ulishaniona nikitafuta nikakosa? au unaongea tu unajua status yangu sasa hivi?