Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
- Thread starter
- #121
wewe nakutaka mwenyeweNiunganishe naye, teheteheee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe nakutaka mwenyeweNiunganishe naye, teheteheee.
Unanitaka mubashara....wewe nakutaka mwenyewe
ReginaYule aliyekua clouds halafu akaenda BBC,anapenda serengeti boyz sana
Hii Kali.hajui hata atajuaje? ila ndo hivo mjue yupo available
Mcha mungu??? labda mungu bashiteAtakuwa diva wa clouds
Kama that woman ni Isha sesay wa cnn mimi niko tayari ila nahitaji unipe muongozo nitampata wapi.Ni mtangazaji wa shirika moja la habari duniani.
Wengi mnamfahamu sitaki kumtaja labda amtaje. That woman ni mzuri, ana adabu na heshima ni mchamungu ila hana hata boyfriend.
Msiniulize nimejuaje, I wish I could be a man! Nyie wanaume mnataka mwanamke wa aina gani jamani? ningekuwa na kaka ningemuozesha .
Nimewapa chimbo naombeni mrejesho..
Isha is occupied kiongozi.Kama that woman ni Isha sesay wa cnn mimi niko tayari ila nahitaji unipe muongozo nitampata wapi.
Umemuona kwente TV au unaishi nae?hajaniambia nimtangazie nimemuona tu ni bora .
Picha yake iko wapi?je anatakoNi mtangazaji wa shirika moja la habari duniani.
Wengi mnamfahamu sitaki kumtaja labda amtaje. That woman ni mzuri, ana adabu na heshima ni mchamungu ila hana hata boyfriend.
Msiniulize nimejuaje, I wish I could be a man! Nyie wanaume mnataka mwanamke wa aina gani jamani? ningekuwa na kaka ningemuozesha .
Nimewapa chimbo naombeni mrejesho..
VP anakikombe au kilishavunjwa?....kama anakikombe aje PMZuhura Yunus hajaolewa?
Nishapita paleZuhura Yunus hajaolewa?
Miss Natafuta nime fall na character yakomi sijamtaja mtu bna ila muoeni huyu dada jamani
Ni pm contact zake.Ni mtangazaji wa shirika moja la habari duniani.
Wengi mnamfahamu sitaki kumtaja labda amtaje. That woman ni mzuri, ana adabu na heshima ni mchamungu ila hana hata boyfriend.
Msiniulize nimejuaje, I wish I could be a man! Nyie wanaume mnataka mwanamke wa aina gani jamani? ningekuwa na kaka ningemuozesha .
Nimewapa chimbo naombeni mrejesho..