Wanaume na I LOVE YOU

Jamani I love you . . . . kwanini unamsumbua bebii?
 
bebii unaonekana mkubwa ila una mambo ya kitoto kwa hizi mada unaonyesha hujakomaa inawezekana hujawa exposed to men s' world kwa sana other wise ungezoea tu hizo i love you na wala usingeona ni tatizo
 
bebii unaonekana mkubwa ila una mambo ya kitoto kwa hizi mada unaonyesha hujakomaa inawezekana hujawa exposed to men s' world kwa sana other wise ungezoea tu hizo i love you na wala usingeona ni tatizo
Kinda truth.
 

Kuna mtu keshaharibu afu sasa ameibuka mwingine kwa gia ile ile. Hi hasira si bure

By the way, kwani hampendi kulaviwa?
 
Watu wanaoa/wanaolewa na kuzaa na watu wasiowapenda we unasema mtu hawezi kudanganywa kwa muda mrefu?!Its all about dertemination...

Mh..huyo aliyedetermine hivyo vyote anakupenda...unless u convince me otherwise!
 
Nimeuliza swali hapo juu naona halikujibiwa labda ni swali gumu, au la kijinga au labda text zangu ni invisible ngoja nijaribu tena

 
Natumai mimi sio demu...

Online dictionary

dame (d m)n.1. Used formerly as a courtesy title for a woman in authority or a mistress of a household.
2. a. A married woman; a matron.
b. An elderly woman.

3. Slang A woman.
4. Chiefly British a. A woman holding a nonhereditary title conferred by a sovereign in recognition of personal merit or service to the country.
b. The wife or widow of a knight.
c. Used as the title for such a woman.

Kama huqualify hapo niambie.....
 
Ningependa uongeze na definition ya mtaani...
 
lizzy jibu eeeeeeeeeeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…