Wanaume na I LOVE YOU

Wanaume na I LOVE YOU

Smile

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2011
Posts
15,347
Reaction score
11,619
Naombeni mnieleweshe jamani hv ni kwa nini wanaume wanapenda kudanganya sana na hili neno i love you
ni vizuri ukisema uwe unamaanisha.ni neno ambalo lina heshima yake. sema pale panapohusika basi. hii inaonyesha hamjui kutongoza kwani neno ni hilo tu la kumpata mtu?
 
Naombeni mnieleweshe jamani hv ni kwa nini wanaume wanapenda kudanganya sana na hili neno i love you
ni vizuri ukisema uwe unamaanisha.ni neno ambalo lina heshima yake. sema pale panapohusika basi.

Umejuaje kwamba hawamaanishi?
 
Kwan bebii hata kama nataka kukutungua tu unadhani ntakuambia i hate you?
 
Naombeni mnieleweshe jamani hv ni kwa nini wanaume wanapenda kudanganya sana na hili neno i love you
ni vizuri ukisema uwe unamaanisha.ni neno ambalo lina heshima yake. sema pale panapohusika basi.
Na nyie pia mnapenda kuambiwa hivyo!!
 
mi siwezi kusema hata siku moja kama simaaanishi
 
we mike nshawai kukuambia?
 
bebiiiiiiiiii
i love you
gimme that thing . . .
 
Naombeni mnieleweshe jamani hv ni kwa nini wanaume wanapenda kudanganya sana na hili neno i love you
ni vizuri ukisema uwe unamaanisha.ni neno ambalo lina heshima yake. sema pale panapohusika basi.

Bebiii wangu
Acha mwanaume awe mwanaume tu
Anasifa zake za kipekee ambazo zingine hazibadiliki.
So ataendelea kuwa mwanaume tu, na wala si jinsia nyingine
 
Lengo ni kupata ile kitu,baada ya hapo huwa tunasepa!
 
ndo mdanganye? mwanaume kweli anatakiwa awe real ndugu
 
Naombeni mnieleweshe jamani hv ni kwa nini wanaume wanapenda kudanganya sana na hili neno i love you
ni vizuri ukisema uwe unamaanisha.ni neno ambalo lina heshima yake. sema pale panapohusika basi.
............ I love You:clock:
 
kweli mnapenda ngono dah why?
 
Back
Top Bottom