Jamani sidhani kama mtandio una maana kubwa hivyo!Wameongeza tu vionjo!Sishawishiki! Naambiwa Timu yetu ya taifa kuna tatizo la ushoga
vionjo vingine mmmhhhhh kazi kubwa sana! Joto la Dar jamani na vibwagizo hivyo?
Haya kwa wachezaji, na yule jamaa wa Tanga naye utamteteaje?
Vikuku, pete za vidole na G-string akivaa mwanaume its obvious ni BWABWA. Vipedo na mtandio ni style ambayo hata wanaume wanavaa, tofauti ni hiyo mshono.
Mimi sioni tatizo ya picha hapo juu.