Wanaume na sisi tunabakwa, moyo unauma sana

Wanaume na sisi tunabakwa, moyo unauma sana

Ukute huyo mke wa mtu yupo km huyu! Mpaka ufumaniwe ndo utaacha
IMG-20210715-WA0008.jpg
 
Huyu Dada Mimi ananibaka coz nafanya nae ngono sipendi sema tu mazingira najikuta nmekua mtumwa wa ngono coz Kuna wakati cna mood unashangaa ananipitia kazini na kigari chake naishia kumfanya tu hata kimoja
Umalaya tuu
 
Wewe fala sana.
Ujinga huu sifanyagi, nimepitia mazingira kama haya lakini msimamo wangu ni kuwa kama sijakusudia kufanya hata kama Kikwete amesimama kiasi gani sifanyi bila maandalizi na kuridhia
 
Sasa ulipovunja amri ya sita baada ya kumpapasa ndio umebakwa hapo?
 
Umepima ngoma tu ujasifiaaa....kuna magonjwa kibao ya ngono zembe umeyaskip...hapa kuna STIs...sexual transmitted Infections kama fungus, na UTI, kuna Sexual Transmitted Diseases (STDs) ukimwi, homa ya inni(hepatitis B), gono, syphils, n.k. kuna expensive sex....kama akipata mimba akaamua kuzaa, dawati LA jinsia linakulazimisha kumuhudumia mtoto mpaka miaka 18.


Ila usiyawazie sana hayo lakini....otherwise hutakula milele.
 
Kuna kipindi Dada angu alijifungua kwa operation kwenye hospital moja kubwa apa mjini nikawa nimeenda asubuhi moja kumuona

Wakati natoka wodini napita reception nikakutana na Dada mmoja age kama 40 mzuri na shape ya maana akanisalumia kwa adabu alionekana km mwenye stress ivi

Akaaniita pembeni nikahisi balaa gani tena hili huku akibubujikwa na machozi akaanza kunielezea kua mama ake mzazi anaumwa saana na anaitaji damu ya haraka na kila anaempigia simu kuomba aje kutoa damu anampga chenga kunautajika chupa 5 za damu na amepata watu watatu bado wawili Dada alinililia saana kuta za hospital zina mengi

Nilikua nimetanguluzana na mdogo angu wa kiume nikamwambia shida ya yule Dada tukakubaliana tumsaidie


Tukatoa zetu damu tulivomaliza wahudumu wakatuweka mapumziko kidogo tupate chai yule Dada akaja pale hall kutushukuru kwa machozi tukamwambia jambo la kawauda tu ilo tukabadilishana namba za simu tukasepa zetu

Nikawa nachat nae kumuuliza hali ya mgonjwa kila asubuhi na jioni siku nisipomcheki akawa analalamika mbona umenususa kaka angu najitetea tetea maisha yakawa yanasonga

Mama akapata nafuu kiasi akaruhusiwa kutoka hospital nikaenda kwake kumuona na kumfahamu kwa kua siku ile ya kutoa damu sikuona kwa sababu alikua kalazwa Icu.basi Dada akanitambulisha kwa bi mkubwa yule alinishukuru saana na mama alikua mtu wa sala sana wakati nataka kuondoka bi mkubwa yule akaniomba nimpe mikono yangu akapiga maombi makali kidogo pale nikaondoka zangu

Kwa hali ya uchumi ya Dada angu yule alikua yupo vizuri na ana mume na vitoto vyake vitatu vizuri vinasoma fm academia izi sio Hawa wa msondo ngoma.

Baada ya wiki kama mbili ivi asubuhi moja ivi Dada akanipigia simu hali ya mama imedilika gafla na kalazwa kwenye hospital ile ile, kwa vile sio mbali na kazini jioni nilivotoka nikapitia hospital kumcheki nikamkuta Dada kwenye hall lile wanapokaa wasaidizi wa wagonjwa akawa ananielezea ilivokua mpaka mgonjwa kulazwa tena, pale hospital alikua yeye Dada na wanawake wengine kama watatu ivi.

Wakati tunaongea ongea Dada akaitwa na daktari ikabidi niongozane nae tulivofika dakitari akaniuliza Nina mahusiano gani na mgonjwa nikamwambia ni shangazi yangu akamwambia dada akakae kwenye benchi Mimi na dakitari tukaingia chemba ivi akanipa maneno nikajua tu hapa mgonjwa kafariki akanambia wew ndo mwanaume jikaze bi mkubwa hatunae ckushtuka saana coz sio mara ya kwanza kukutana na situation kama hii, swala likaja naanzaje kumwambia Dada nikarudi kwnye benchi akaniuliza vipi nikaaanzia mbali then nikamwambia ukweli

Basi nikamsindikiza mpka kwake wakaweka msiba ndugu ndugu zao wakaoganiz wakasafirisha Mimi sikwenda coz Nina mke ningesemaje na kibaruani ningesemaje ila nilikuepo wakati wa kuaga apa mjini.

Baada ya mazishi Dada akarejea mjini kuendelea na majukumu. Tukaendelea kuwasiliana akaanza kunipa changamoto za ndoa yake kumbe mume wake hajushiriki hata kidogo kwenye matibabu ya mkwewe hyo ni stor nyingine

Mazoea yakazidi lakini kila wakati akawa anacctiza cjui atanipa zawadi gani ili nitambue ni kiasi gani ana appreciate mchango wangu kwake nikawa namtuliza kua asiwe na wasi wasi sisi ni binadamu kusaidiana jambo la kawaida tu na nimelelewa katika misingi ya kusaidia pale ninapoweza

Na kwa ukweli nilitoa damu siku ile bila kutegemea kitu chochote kutoka kwake nilitaka iwe sadaka yangu kwake lakini nadhani sio sadaka teeena kwa haya yaliyotokea

Siku moja ya jumapili akaniomba nimsindikize shambani kwake bagamoyo nikamwambia asubuhi nitaenda kanisani akanambia nae ataenda tukitoka ndo twende nikamwambia fine, jumapili ilivofika kama saa nne na nusu ivi nimetoka church akanitext nikamwambia niko ok kwa wife nikadanganya Kuna mishe nafanya akanielewa

Tukapanga wapi anipie akaja na ki Ist chake safari ya bagamoyo ikaanza akawa amenunua nyama choma na soda za take away tukawa tunakul huku tunapiga stori za maisha. Tukaacha bara bara ya lami kuanza kuingia shambani tukafika sehemu akashuka akasema anaenda kukojoa alivorudi wakati amekaa kwenye siti akapandisha dira mapaja yote yakawa yapo wazi malaini mazuri na hipis zile mmmh. Nikamwomba afunike wapaja akagoma

Akili zikanihama kabisaaa nikajikuta nimepoteza concentration cjui shetani gani aliningia nikaanza kumpapasa mapaja kumbe hata chupi hakuvaa alikua kavaa dira tu na shape ile nikajikuta namvua zote ndani ya gari tukavunja amri ya sita tena kavu

Baada ya kumaliza nilianza kujutia nafsi ikawa inanisuta saaana nikajiuliza km huyu Dada kaungua itakuaje vipi kwa mke wangu nae mtoto wa watu itakuaje

Shamba hatukwenda teeena nikawa nimefura nimebadilika hata kuongea nae tena nikawa cwezi akawa ananiongelesha nikabaki kimya njia nzima moyo ulikua unaniuma saaana nikawa nimevurugwa vibaya saana kufika nyumbani nikimwangalia mke wangu nikajiona wa hovyo saana lakini nikajiwekea mpango kua siwezi kumuingilia mke wangu bila kujua afya ya yule Dada

Jumatatu yake dada akawa ananiomba msamaha kwa yaliyotokea lakini akisisitiza kua hajawahi kuona mwanaume wa ajabu kama Mimi nimepewa penzi alafu nanuna na uzuri wake wote ule kwangu hilo halikua issue, issue ni afya yangu

Jioni ya siku hyo nikamwambia Nina wasi wasi na afya akacheka saana akasema kesho yake tukapime wote kwenye hospital ntakayoipendekeza Mimi, ckulala ucku ule mchana kwenye saba ivi Mimi na yeye tukaenda kupima wote tukaonekana tupo vizuri

Tulipotoka hospital akanambia tutafute sehemu tukae tuongee kidogo tukaenda kukaa bar flani ivi wakati tupo nje tumekaa akambia hayupo confotable twende chumbani ila hatutafanya chochote nikakataa akalazimisha tukachukua room tulivofika akakaa kwenye kiti Mimi kitandani kilichotokea baada ya hapo sex. Huyu Dada Mimi ananibaka coz nafanya nae ngono sipendi sema tu mazingira najikuta nmekua mtumwa wa ngono coz Kuna wakati cna mood unashangaa ananipitia kazini na kigari chake naishia kumfanya tu hata kimoja
Safiiii scenario Kama iz hazitupat wauni
 
Kuna kipindi Dada angu alijifungua kwa operation kwenye hospital moja kubwa apa mjini nikawa nimeenda asubuhi moja kumuona

Wakati natoka wodini napita reception nikakutana na Dada mmoja age kama 40 mzuri na shape ya maana akanisalumia kwa adabu alionekana km mwenye stress ivi

Akaaniita pembeni nikahisi balaa gani tena hili huku akibubujikwa na machozi akaanza kunielezea kua mama ake mzazi anaumwa saana na anaitaji damu ya haraka na kila anaempigia simu kuomba aje kutoa damu anampga chenga kunautajika chupa 5 za damu na amepata watu watatu bado wawili Dada alinililia saana kuta za hospital zina mengi

Nilikua nimetanguluzana na mdogo angu wa kiume nikamwambia shida ya yule Dada tukakubaliana tumsaidie


Tukatoa zetu damu tulivomaliza wahudumu wakatuweka mapumziko kidogo tupate chai yule Dada akaja pale hall kutushukuru kwa machozi tukamwambia jambo la kawauda tu ilo tukabadilishana namba za simu tukasepa zetu

Nikawa nachat nae kumuuliza hali ya mgonjwa kila asubuhi na jioni siku nisipomcheki akawa analalamika mbona umenususa kaka angu najitetea tetea maisha yakawa yanasonga

Mama akapata nafuu kiasi akaruhusiwa kutoka hospital nikaenda kwake kumuona na kumfahamu kwa kua siku ile ya kutoa damu sikuona kwa sababu alikua kalazwa Icu.basi Dada akanitambulisha kwa bi mkubwa yule alinishukuru saana na mama alikua mtu wa sala sana wakati nataka kuondoka bi mkubwa yule akaniomba nimpe mikono yangu akapiga maombi makali kidogo pale nikaondoka zangu

Kwa hali ya uchumi ya Dada angu yule alikua yupo vizuri na ana mume na vitoto vyake vitatu vizuri vinasoma fm academia izi sio Hawa wa msondo ngoma.

Baada ya wiki kama mbili ivi asubuhi moja ivi Dada akanipigia simu hali ya mama imedilika gafla na kalazwa kwenye hospital ile ile, kwa vile sio mbali na kazini jioni nilivotoka nikapitia hospital kumcheki nikamkuta Dada kwenye hall lile wanapokaa wasaidizi wa wagonjwa akawa ananielezea ilivokua mpaka mgonjwa kulazwa tena, pale hospital alikua yeye Dada na wanawake wengine kama watatu ivi.

Wakati tunaongea ongea Dada akaitwa na daktari ikabidi niongozane nae tulivofika dakitari akaniuliza Nina mahusiano gani na mgonjwa nikamwambia ni shangazi yangu akamwambia dada akakae kwenye benchi Mimi na dakitari tukaingia chemba ivi akanipa maneno nikajua tu hapa mgonjwa kafariki akanambia wew ndo mwanaume jikaze bi mkubwa hatunae ckushtuka saana coz sio mara ya kwanza kukutana na situation kama hii, swala likaja naanzaje kumwambia Dada nikarudi kwnye benchi akaniuliza vipi nikaaanzia mbali then nikamwambia ukweli

Basi nikamsindikiza mpka kwake wakaweka msiba ndugu ndugu zao wakaoganiz wakasafirisha Mimi sikwenda coz Nina mke ningesemaje na kibaruani ningesemaje ila nilikuepo wakati wa kuaga apa mjini.

Baada ya mazishi Dada akarejea mjini kuendelea na majukumu. Tukaendelea kuwasiliana akaanza kunipa changamoto za ndoa yake kumbe mume wake hajushiriki hata kidogo kwenye matibabu ya mkwewe hyo ni stor nyingine

Mazoea yakazidi lakini kila wakati akawa anacctiza cjui atanipa zawadi gani ili nitambue ni kiasi gani ana appreciate mchango wangu kwake nikawa namtuliza kua asiwe na wasi wasi sisi ni binadamu kusaidiana jambo la kawaida tu na nimelelewa katika misingi ya kusaidia pale ninapoweza

Na kwa ukweli nilitoa damu siku ile bila kutegemea kitu chochote kutoka kwake nilitaka iwe sadaka yangu kwake lakini nadhani sio sadaka teeena kwa haya yaliyotokea

Siku moja ya jumapili akaniomba nimsindikize shambani kwake bagamoyo nikamwambia asubuhi nitaenda kanisani akanambia nae ataenda tukitoka ndo twende nikamwambia fine, jumapili ilivofika kama saa nne na nusu ivi nimetoka church akanitext nikamwambia niko ok kwa wife nikadanganya Kuna mishe nafanya akanielewa

Tukapanga wapi anipie akaja na ki Ist chake safari ya bagamoyo ikaanza akawa amenunua nyama choma na soda za take away tukawa tunakul huku tunapiga stori za maisha. Tukaacha bara bara ya lami kuanza kuingia shambani tukafika sehemu akashuka akasema anaenda kukojoa alivorudi wakati amekaa kwenye siti akapandisha dira mapaja yote yakawa yapo wazi malaini mazuri na hipis zile mmmh. Nikamwomba afunike wapaja akagoma

Akili zikanihama kabisaaa nikajikuta nimepoteza concentration cjui shetani gani aliningia nikaanza kumpapasa mapaja kumbe hata chupi hakuvaa alikua kavaa dira tu na shape ile nikajikuta namvua zote ndani ya gari tukavunja amri ya sita tena kavu

Baada ya kumaliza nilianza kujutia nafsi ikawa inanisuta saaana nikajiuliza km huyu Dada kaungua itakuaje vipi kwa mke wangu nae mtoto wa watu itakuaje

Shamba hatukwenda teeena nikawa nimefura nimebadilika hata kuongea nae tena nikawa cwezi akawa ananiongelesha nikabaki kimya njia nzima moyo ulikua unaniuma saaana nikawa nimevurugwa vibaya saana kufika nyumbani nikimwangalia mke wangu nikajiona wa hovyo saana lakini nikajiwekea mpango kua siwezi kumuingilia mke wangu bila kujua afya ya yule Dada

Jumatatu yake dada akawa ananiomba msamaha kwa yaliyotokea lakini akisisitiza kua hajawahi kuona mwanaume wa ajabu kama Mimi nimepewa penzi alafu nanuna na uzuri wake wote ule kwangu hilo halikua issue, issue ni afya yangu

Jioni ya siku hyo nikamwambia Nina wasi wasi na afya akacheka saana akasema kesho yake tukapime wote kwenye hospital ntakayoipendekeza Mimi, ckulala ucku ule mchana kwenye saba ivi Mimi na yeye tukaenda kupima wote tukaonekana tupo vizuri

Tulipotoka hospital akanambia tutafute sehemu tukae tuongee kidogo tukaenda kukaa bar flani ivi wakati tupo nje tumekaa akambia hayupo confotable twende chumbani ila hatutafanya chochote nikakataa akalazimisha tukachukua room tulivofika akakaa kwenye kiti Mimi kitandani kilichotokea baada ya hapo sex. Huyu Dada Mimi ananibaka coz nafanya nae ngono sipendi sema tu mazingira najikuta nmekua mtumwa wa ngono coz Kuna wakati cna mood unashangaa ananipitia kazini na kigari chake naishia kumfanya tu hata kimoja
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mwanaume ubakwi mkuu!! We mwenye unajilengesha kifala... Mara ya kwanza umeliwa, umeenda kupima fresh ukaliwa tena!!!!! Unazingua we kama pisi umeielewa piga shoo ila kumbuka uyo ni mke wa mtu brother
 
Sasa hapo anakubakaje mkuu!

Kwani huenjoy utamu wake?
 
Kuna kipindi Dada angu alijifungua kwa operation kwenye hospital moja kubwa apa mjini nikawa nimeenda asubuhi moja kumuona

Wakati natoka wodini napita reception nikakutana na Dada mmoja age kama 40 mzuri na shape ya maana akanisalumia kwa adabu alionekana km mwenye stress ivi

Akaaniita pembeni nikahisi balaa gani tena hili huku akibubujikwa na machozi akaanza kunielezea kua mama ake mzazi anaumwa saana na anaitaji damu ya haraka na kila anaempigia simu kuomba aje kutoa damu anampga chenga kunautajika chupa 5 za damu na amepata watu watatu bado wawili Dada alinililia saana kuta za hospital zina mengi

Nilikua nimetanguluzana na mdogo angu wa kiume nikamwambia shida ya yule Dada tukakubaliana tumsaidie


Tukatoa zetu damu tulivomaliza wahudumu wakatuweka mapumziko kidogo tupate chai yule Dada akaja pale hall kutushukuru kwa machozi tukamwambia jambo la kawauda tu ilo tukabadilishana namba za simu tukasepa zetu

Nikawa nachat nae kumuuliza hali ya mgonjwa kila asubuhi na jioni siku nisipomcheki akawa analalamika mbona umenususa kaka angu najitetea tetea maisha yakawa yanasonga

Mama akapata nafuu kiasi akaruhusiwa kutoka hospital nikaenda kwake kumuona na kumfahamu kwa kua siku ile ya kutoa damu sikuona kwa sababu alikua kalazwa Icu.basi Dada akanitambulisha kwa bi mkubwa yule alinishukuru saana na mama alikua mtu wa sala sana wakati nataka kuondoka bi mkubwa yule akaniomba nimpe mikono yangu akapiga maombi makali kidogo pale nikaondoka zangu

Kwa hali ya uchumi ya Dada angu yule alikua yupo vizuri na ana mume na vitoto vyake vitatu vizuri vinasoma fm academia izi sio Hawa wa msondo ngoma.

Baada ya wiki kama mbili ivi asubuhi moja ivi Dada akanipigia simu hali ya mama imedilika gafla na kalazwa kwenye hospital ile ile, kwa vile sio mbali na kazini jioni nilivotoka nikapitia hospital kumcheki nikamkuta Dada kwenye hall lile wanapokaa wasaidizi wa wagonjwa akawa ananielezea ilivokua mpaka mgonjwa kulazwa tena, pale hospital alikua yeye Dada na wanawake wengine kama watatu ivi.

Wakati tunaongea ongea Dada akaitwa na daktari ikabidi niongozane nae tulivofika dakitari akaniuliza Nina mahusiano gani na mgonjwa nikamwambia ni shangazi yangu akamwambia dada akakae kwenye benchi Mimi na dakitari tukaingia chemba ivi akanipa maneno nikajua tu hapa mgonjwa kafariki akanambia wew ndo mwanaume jikaze bi mkubwa hatunae ckushtuka saana coz sio mara ya kwanza kukutana na situation kama hii, swala likaja naanzaje kumwambia Dada nikarudi kwnye benchi akaniuliza vipi nikaaanzia mbali then nikamwambia ukweli

Basi nikamsindikiza mpka kwake wakaweka msiba ndugu ndugu zao wakaoganiz wakasafirisha Mimi sikwenda coz Nina mke ningesemaje na kibaruani ningesemaje ila nilikuepo wakati wa kuaga apa mjini.

Baada ya mazishi Dada akarejea mjini kuendelea na majukumu. Tukaendelea kuwasiliana akaanza kunipa changamoto za ndoa yake kumbe mume wake hajushiriki hata kidogo kwenye matibabu ya mkwewe hyo ni stor nyingine

Mazoea yakazidi lakini kila wakati akawa anacctiza cjui atanipa zawadi gani ili nitambue ni kiasi gani ana appreciate mchango wangu kwake nikawa namtuliza kua asiwe na wasi wasi sisi ni binadamu kusaidiana jambo la kawaida tu na nimelelewa katika misingi ya kusaidia pale ninapoweza

Na kwa ukweli nilitoa damu siku ile bila kutegemea kitu chochote kutoka kwake nilitaka iwe sadaka yangu kwake lakini nadhani sio sadaka teeena kwa haya yaliyotokea

Siku moja ya jumapili akaniomba nimsindikize shambani kwake bagamoyo nikamwambia asubuhi nitaenda kanisani akanambia nae ataenda tukitoka ndo twende nikamwambia fine, jumapili ilivofika kama saa nne na nusu ivi nimetoka church akanitext nikamwambia niko ok kwa wife nikadanganya Kuna mishe nafanya akanielewa

Tukapanga wapi anipie akaja na ki Ist chake safari ya bagamoyo ikaanza akawa amenunua nyama choma na soda za take away tukawa tunakul huku tunapiga stori za maisha. Tukaacha bara bara ya lami kuanza kuingia shambani tukafika sehemu akashuka akasema anaenda kukojoa alivorudi wakati amekaa kwenye siti akapandisha dira mapaja yote yakawa yapo wazi malaini mazuri na hipis zile mmmh. Nikamwomba afunike wapaja akagoma

Akili zikanihama kabisaaa nikajikuta nimepoteza concentration cjui shetani gani aliningia nikaanza kumpapasa mapaja kumbe hata chupi hakuvaa alikua kavaa dira tu na shape ile nikajikuta namvua zote ndani ya gari tukavunja amri ya sita tena kavu

Baada ya kumaliza nilianza kujutia nafsi ikawa inanisuta saaana nikajiuliza km huyu Dada kaungua itakuaje vipi kwa mke wangu nae mtoto wa watu itakuaje

Shamba hatukwenda teeena nikawa nimefura nimebadilika hata kuongea nae tena nikawa cwezi akawa ananiongelesha nikabaki kimya njia nzima moyo ulikua unaniuma saaana nikawa nimevurugwa vibaya saana kufika nyumbani nikimwangalia mke wangu nikajiona wa hovyo saana lakini nikajiwekea mpango kua siwezi kumuingilia mke wangu bila kujua afya ya yule Dada

Jumatatu yake dada akawa ananiomba msamaha kwa yaliyotokea lakini akisisitiza kua hajawahi kuona mwanaume wa ajabu kama Mimi nimepewa penzi alafu nanuna na uzuri wake wote ule kwangu hilo halikua issue, issue ni afya yangu

Jioni ya siku hyo nikamwambia Nina wasi wasi na afya akacheka saana akasema kesho yake tukapime wote kwenye hospital ntakayoipendekeza Mimi, ckulala ucku ule mchana kwenye saba ivi Mimi na yeye tukaenda kupima wote tukaonekana tupo vizuri

Tulipotoka hospital akanambia tutafute sehemu tukae tuongee kidogo tukaenda kukaa bar flani ivi wakati tupo nje tumekaa akambia hayupo confotable twende chumbani ila hatutafanya chochote nikakataa akalazimisha tukachukua room tulivofika akakaa kwenye kiti Mimi kitandani kilichotokea baada ya hapo sex. Huyu Dada Mimi ananibaka coz nafanya nae ngono sipendi sema tu mazingira najikuta nmekua mtumwa wa ngono coz Kuna wakati cna mood unashangaa ananipitia kazini na kigari chake naishia kumfanya tu hata kimoja
Hakuna mwanaume hapa! Acha tufanye mchakato wa kupeleka moto kwa mke wako usije kuwa unampa stress mtoto wa watu na mechi zako za over seventy!
 
Kuna kipindi Dada angu alijifungua kwa operation kwenye hospital moja kubwa apa mjini nikawa nimeenda asubuhi moja kumuona

Wakati natoka wodini napita reception nikakutana na Dada mmoja age kama 40 mzuri na shape ya maana akanisalumia kwa adabu alionekana km mwenye stress ivi

Akaaniita pembeni nikahisi balaa gani tena hili huku akibubujikwa na machozi akaanza kunielezea kua mama ake mzazi anaumwa saana na anaitaji damu ya haraka na kila anaempigia simu kuomba aje kutoa damu anampga chenga kunautajika chupa 5 za damu na amepata watu watatu bado wawili Dada alinililia saana kuta za hospital zina mengi

Nilikua nimetanguluzana na mdogo angu wa kiume nikamwambia shida ya yule Dada tukakubaliana tumsaidie


Tukatoa zetu damu tulivomaliza wahudumu wakatuweka mapumziko kidogo tupate chai yule Dada akaja pale hall kutushukuru kwa machozi tukamwambia jambo la kawauda tu ilo tukabadilishana namba za simu tukasepa zetu

Nikawa nachat nae kumuuliza hali ya mgonjwa kila asubuhi na jioni siku nisipomcheki akawa analalamika mbona umenususa kaka angu najitetea tetea maisha yakawa yanasonga

Mama akapata nafuu kiasi akaruhusiwa kutoka hospital nikaenda kwake kumuona na kumfahamu kwa kua siku ile ya kutoa damu sikuona kwa sababu alikua kalazwa Icu.basi Dada akanitambulisha kwa bi mkubwa yule alinishukuru saana na mama alikua mtu wa sala sana wakati nataka kuondoka bi mkubwa yule akaniomba nimpe mikono yangu akapiga maombi makali kidogo pale nikaondoka zangu

Kwa hali ya uchumi ya Dada angu yule alikua yupo vizuri na ana mume na vitoto vyake vitatu vizuri vinasoma fm academia izi sio Hawa wa msondo ngoma.

Baada ya wiki kama mbili ivi asubuhi moja ivi Dada akanipigia simu hali ya mama imedilika gafla na kalazwa kwenye hospital ile ile, kwa vile sio mbali na kazini jioni nilivotoka nikapitia hospital kumcheki nikamkuta Dada kwenye hall lile wanapokaa wasaidizi wa wagonjwa akawa ananielezea ilivokua mpaka mgonjwa kulazwa tena, pale hospital alikua yeye Dada na wanawake wengine kama watatu ivi.

Wakati tunaongea ongea Dada akaitwa na daktari ikabidi niongozane nae tulivofika dakitari akaniuliza Nina mahusiano gani na mgonjwa nikamwambia ni shangazi yangu akamwambia dada akakae kwenye benchi Mimi na dakitari tukaingia chemba ivi akanipa maneno nikajua tu hapa mgonjwa kafariki akanambia wew ndo mwanaume jikaze bi mkubwa hatunae ckushtuka saana coz sio mara ya kwanza kukutana na situation kama hii, swala likaja naanzaje kumwambia Dada nikarudi kwnye benchi akaniuliza vipi nikaaanzia mbali then nikamwambia ukweli

Basi nikamsindikiza mpka kwake wakaweka msiba ndugu ndugu zao wakaoganiz wakasafirisha Mimi sikwenda coz Nina mke ningesemaje na kibaruani ningesemaje ila nilikuepo wakati wa kuaga apa mjini.

Baada ya mazishi Dada akarejea mjini kuendelea na majukumu. Tukaendelea kuwasiliana akaanza kunipa changamoto za ndoa yake kumbe mume wake hajushiriki hata kidogo kwenye matibabu ya mkwewe hyo ni stor nyingine

Mazoea yakazidi lakini kila wakati akawa anacctiza cjui atanipa zawadi gani ili nitambue ni kiasi gani ana appreciate mchango wangu kwake nikawa namtuliza kua asiwe na wasi wasi sisi ni binadamu kusaidiana jambo la kawaida tu na nimelelewa katika misingi ya kusaidia pale ninapoweza

Na kwa ukweli nilitoa damu siku ile bila kutegemea kitu chochote kutoka kwake nilitaka iwe sadaka yangu kwake lakini nadhani sio sadaka teeena kwa haya yaliyotokea

Siku moja ya jumapili akaniomba nimsindikize shambani kwake bagamoyo nikamwambia asubuhi nitaenda kanisani akanambia nae ataenda tukitoka ndo twende nikamwambia fine, jumapili ilivofika kama saa nne na nusu ivi nimetoka church akanitext nikamwambia niko ok kwa wife nikadanganya Kuna mishe nafanya akanielewa

Tukapanga wapi anipie akaja na ki Ist chake safari ya bagamoyo ikaanza akawa amenunua nyama choma na soda za take away tukawa tunakul huku tunapiga stori za maisha. Tukaacha bara bara ya lami kuanza kuingia shambani tukafika sehemu akashuka akasema anaenda kukojoa alivorudi wakati amekaa kwenye siti akapandisha dira mapaja yote yakawa yapo wazi malaini mazuri na hipis zile mmmh. Nikamwomba afunike wapaja akagoma

Akili zikanihama kabisaaa nikajikuta nimepoteza concentration cjui shetani gani aliningia nikaanza kumpapasa mapaja kumbe hata chupi hakuvaa alikua kavaa dira tu na shape ile nikajikuta namvua zote ndani ya gari tukavunja amri ya sita tena kavu

Baada ya kumaliza nilianza kujutia nafsi ikawa inanisuta saaana nikajiuliza km huyu Dada kaungua itakuaje vipi kwa mke wangu nae mtoto wa watu itakuaje

Shamba hatukwenda teeena nikawa nimefura nimebadilika hata kuongea nae tena nikawa cwezi akawa ananiongelesha nikabaki kimya njia nzima moyo ulikua unaniuma saaana nikawa nimevurugwa vibaya saana kufika nyumbani nikimwangalia mke wangu nikajiona wa hovyo saana lakini nikajiwekea mpango kua siwezi kumuingilia mke wangu bila kujua afya ya yule Dada

Jumatatu yake dada akawa ananiomba msamaha kwa yaliyotokea lakini akisisitiza kua hajawahi kuona mwanaume wa ajabu kama Mimi nimepewa penzi alafu nanuna na uzuri wake wote ule kwangu hilo halikua issue, issue ni afya yangu

Jioni ya siku hyo nikamwambia Nina wasi wasi na afya akacheka saana akasema kesho yake tukapime wote kwenye hospital ntakayoipendekeza Mimi, ckulala ucku ule mchana kwenye saba ivi Mimi na yeye tukaenda kupima wote tukaonekana tupo vizuri

Tulipotoka hospital akanambia tutafute sehemu tukae tuongee kidogo tukaenda kukaa bar flani ivi wakati tupo nje tumekaa akambia hayupo confotable twende chumbani ila hatutafanya chochote nikakataa akalazimisha tukachukua room tulivofika akakaa kwenye kiti Mimi kitandani kilichotokea baada ya hapo sex. Huyu Dada Mimi ananibaka coz nafanya nae ngono sipendi sema tu mazingira najikuta nmekua mtumwa wa ngono coz Kuna wakati cna mood unashangaa ananipitia kazini na kigari chake naishia kumfanya tu hata kimoja
Kiroka
 
yupo vizuri na ana mume na vitoto vyake vitatu vizuri vinasoma fm academia izi sio Hawa wa msondo ngoma.

Jamani 😂😂😂😂😂
 
Upo vizur ktk utunzi wa story hizi za kufikirika hongera
 
tulivofika akakaa kwenye kiti Mimi kitandani kilichotokea baada ya hapo sex. Huyu Dada Mimi ananibaka coz nafanya nae ngono sipendi sema tu mazingira najikuta nmekua mtumwa wa ngono coz Kuna wakati cna mood unashangaa ananipitia kazini na kigari chake naishia kumfanya tu hata kimoja
😂😂😂
Mtumwa wa ngono🙄
Yaani unajua kifuatacho lkn unaenda tu !
 
Back
Top Bottom