Wanaume na sisi tunabakwa, moyo unauma sana

Huyu Dada Mimi ananibaka coz nafanya nae ngono sipendi sema tu mazingira najikuta nmekua mtumwa wa ngono coz Kuna wakati cna mood unashangaa ananipitia kazini na kigari chake naishia kumfanya tu hata kimoja
Umalaya tuu
 
Wewe fala sana.
Ujinga huu sifanyagi, nimepitia mazingira kama haya lakini msimamo wangu ni kuwa kama sijakusudia kufanya hata kama Kikwete amesimama kiasi gani sifanyi bila maandalizi na kuridhia
 
Sasa ulipovunja amri ya sita baada ya kumpapasa ndio umebakwa hapo?
 
Umepima ngoma tu ujasifiaaa....kuna magonjwa kibao ya ngono zembe umeyaskip...hapa kuna STIs...sexual transmitted Infections kama fungus, na UTI, kuna Sexual Transmitted Diseases (STDs) ukimwi, homa ya inni(hepatitis B), gono, syphils, n.k. kuna expensive sex....kama akipata mimba akaamua kuzaa, dawati LA jinsia linakulazimisha kumuhudumia mtoto mpaka miaka 18.


Ila usiyawazie sana hayo lakini....otherwise hutakula milele.
 
Safiiii scenario Kama iz hazitupat wauni
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mwanaume ubakwi mkuu!! We mwenye unajilengesha kifala... Mara ya kwanza umeliwa, umeenda kupima fresh ukaliwa tena!!!!! Unazingua we kama pisi umeielewa piga shoo ila kumbuka uyo ni mke wa mtu brother
 
Sasa hapo anakubakaje mkuu!

Kwani huenjoy utamu wake?
 
Hakuna mwanaume hapa! Acha tufanye mchakato wa kupeleka moto kwa mke wako usije kuwa unampa stress mtoto wa watu na mechi zako za over seventy!
 
Huo sio ubakwaji naomba kichwa Cha habari kisomeke "Damu yangu ilivyolipwa kwa mbususu" au "damu yangu yenye thamani ya mbususu"😁
Hahaaaa....hili ni tusi mkuu.
 
Kiroka
 
yupo vizuri na ana mume na vitoto vyake vitatu vizuri vinasoma fm academia izi sio Hawa wa msondo ngoma.

Jamani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Upo vizur ktk utunzi wa story hizi za kufikirika hongera
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mtumwa wa ngonoπŸ™„
Yaani unajua kifuatacho lkn unaenda tu !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…