PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Wanaonogewa hawapayuki. Wananogewa kimyakimya ndiyo maana mnaona vipilipili vinaongezekaWenye vipilipili hawanogi kiukweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaonogewa hawapayuki. Wananogewa kimyakimya ndiyo maana mnaona vipilipili vinaongezekaWenye vipilipili hawanogi kiukweli
Tuna ndevu, mwanaume ndevu kidevuniWanaume mnanini lakini...
Ubarikiwe kwa kusema ukweli.Ndevu zikipita shingoni.....zinatekenya na kusisimua
KumbeWanaonogewa hawapayuki. Wananogewa kimyakimya ndiyo maana mnaona vipilipili vinaongezeka
Weweee [emoji1787][emoji1787]huo muda wa kunyoa ndevu au vuzi mnautoa wapi ukijikata je?
View attachment 2708825
Kama jamaa wa Isidingohuo muda wa kunyoa ndevu au vuzi mnautoa wapi ukijikata je?
View attachment 2708825
Shadrack SibiyaKama jamaa wa Isidingo
Ewaaa😅😅😅 na yule mwanae makro...Shadrack Sibiya
Sotobe (Sibiya)...Kama jamaa wa Isidingo
Halafu wananyoa bonge la para....Ndo style ya mjini now
Hiyo kazi yako mwanmke kuzichana kma zina viplipiliHabari,
Husikia na kichwa cha habari hapo juu,
Kumekuwa na fashoni fulani la wanaume kuachia midevu kama wehu.
Hii fashion Kuna wenye kipilipili originali Hawa wanakuwa kama wehu.
Yaani Kuna wanaopendeza kama nini maana sura zao zinachangia...
Kuna wengine wamekuwa kama wachafu Fulani hivi yaani wachandevu...
Wanaume mnanini lakini...