Wanaume na wanawake wa Dar mnachekesha sana...

Kama wewe tu unavyokusifia dsm hata kama unakaa uswahilini.

Hahahaaa
Hahaha si afadhali ya uswahilini kuliko shambani nani anaitaka karaha ya ngedere huko porini we kadada!
Daah!
 
Hahaha si afadhali ya uswahilini kuliko shambani nani anaitaka karaha ya ngedere huko porini we kadada!
Daah!
Ila hujajua tu ngedere wanatufanya tusiwe na uoga wa ajabu ajabu sio kama nyie wenzetu huko dar mnao ogopa panya road.
 
Madela bila chupi, khaaa, unenichekesha kweli, na huo ndio ukweli.
 
Ila hujajua tu ngedere wanatufanya tusiwe na uoga wa ajabu ajabu sio kama nyie wenzetu huko dar mnao ogopa panya road.
Sawa ila ngedere ni wanyama na hao panya road ni kina nani kwani vile?!!
Et waoga!!
 
Sawa ila ngedere ni wanyama na hao panya road ni kina nani kwani vile?!!
Et waoga!!
Unajifanya umesahau eee. Kumbuka vizuri utajua ni kitu gani na mlifanya nini siku hao panya road walipomwagika mtaani.

Hahahaaa
 
Unajifanya umesahau eee. Kumbuka vizuri utajua ni kitu gani na mlifanya nini siku hao panya road walipomwagika mtaani.

Hahahaaa
Doh! We unafurahisha kweli, ungenijua wala sijui hata kama ungeongea hayo unayosema.
Waoga sisi eeh!!!
 
Watu waoga ni wale wanaoogopa kuja kupambana mjini wanabaki vijijini kupambana na ngedere na kitimoto pori. Mjini shule tosha.
 
Hahahaha kulima mihogo.
Karibu wewe kwanza dar, uone radha yake kidogo naamini utachonga mzinga hutatamani tena kurudi kule kupikia magunzi ya mahindi!!
Msijifanye wajanja hapa, dar mnapatamani sana tu.
Tunapatamani kuja kuona vituko vyenu na sio kwa kuweka makazi ya kudumu.

Kupikia magunzi poa tu kwa sababu mwisho wa siku kinachopikwa kinaiva na kulika.
 
Tunapatamani kuja kuona vituko vyenu na sio kwa kuweka makazi ya kudumu.

Kupikia magunzi poa tu kwa sababu mwisho wa siku kinachopikwa kinaiva na kulika.

Daah sawa kadada wee! Mwenyeji wangu mikoani huko.!!
 
Wanajisifia kuishi kijijini kama sisi hatuvijui vijiji hivi vya kiafrika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…