Wanaume na wanawake wa Dar mnachekesha sana...

Wanaume na wanawake wa Dar mnachekesha sana...

Yaani unataka tuishi maisha ya shida kisa na mkasa? Wewe huko ushaizoea shida unaonekana, mshazoea kutembea umbali mrefu kwa miguu hata kama uko na gari kisa umekulia huko, Tuache sie wa mjini wenyewe mkija huku mnatoa macho tu[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]
 
Mkuu umemaliza kabisa, hawa wa mikoani kila kukicha wanalalamika wanachelewa kufikisha mazao yao Dar kwa sababu barabara zinaharibika mvua zikinyesha. Bei ya mazao yao tunawapangia sisi. Story zao kila siku ohh chips na pepsi, hayo magunia ya mahindi, maharagwe, nk huwa tunapeleka wapi. Mkoani ni mkoani tu, Dar ni ndogo kuliko mikoa yote lakini ndio ina idadi kubwa ya wakazi....
Hahahaaa , naamini wameelewa
 
Me Najivunia Kuwa Mwanaume wa Dar Aisee Born In Town Yani Tukija Mikoani Videmu vyenu Vinatushobokea Vinalalamika Hamjui Mapenzi Mnawabaka sana MNA Mapenzi ya Kuku
 
Kimvua kidogo tu kimenyesha.. Mmeshanza kuvaa masweta na makoti utafikiri mpo kwenye Polar continents. . Mkija mkoani mtayaweza kweli maisha... Acheni mambo ya ajabu nyie watu..
Haaaaaaaaaa. Hakili zako unazifahamu mwenyewe
 
Back
Top Bottom