Hii topic nimeipenda sana
Turudi ktk saikolojia, mwanaume anatamani ngono kirahisi sana kuliko mwanamke tena kupitia mlango mmoja tu wa fahamu ambao ni kuona tofauti na mwanamke ambaye yeye mpk atumie milango yote mnne ya fahamu, kuona, kugusa kusikia n.k
sasa utakuta umeajiri H/G kafika kwako na ni binti mkubwa tu let say above 18, anaanza kuoga maji na kupaka mafuta ukichanganya na ndizi nyama anaanza kupata umbo halisi la kike na kutamanisha
tatizo linaanza pale ambapo mnakaa nae miaka miwili mama hamruhusu hata siku moja aende kwa wachumbe kupunguza hamu ni kazi na kubanwa asitoke nyumbani
na kama tunavyojua manyenyere yakishaanza kumtembea mtoto wa watu anakuwa kama na mashetani utakuta anaanza kukutegeshea baba mwenye nyumba
Akiona mmebaki wawili anaanza kukukalia vibaya anakuvalia kanga moja na vituko vingine vingi tu ambavyo hawezi kuvifanya mama akiwepo sasa utakuta kwa kuwa m/ume anapata hisia zaidi kwa kuona utakuta tamaa inamshika japo tunajizuia sana lakini wanaume wenzangu nadhani kichwani uwa tunafikiria vibaya kusema ule ukweli
sasa hapo kama ukizidiwa na tamaa ndio unakuta mtu anatafuna H/G wake na mapenzi yalivyo mapumbavu utakuta unarudia tena mpk siku unashikwa
Mie yaliwahi kunikuta haya (ingawa siku-do nae) ila kuna siku mamaa alisafiri huku nyuma nilifanyiwa vituko mpk basi yule H/G alikuwa anakaa mbali sana kutazama TV mamaa akiwepo na mara nyingi mi nikiwepo uwa anaondoka kabisa, sasa baada ya mamaa kusafiri yule HG akaanza kuvaa vitopu kitovu nje na chini kanga na alikuwa na umbo na pia anajiachia mapaja nje akiwa jikoni ambako ndio mlango mkuu wa kutokea nje na nikipita wala hastuki kujifunika ikifika kipindi cha kula ananiwekea nae anakaa hapo hapo kula
Nikikaa kuangalia TV nae akimaliza kazi anakaa sasa kuna siku nilikuwa naangalia Movie ilikuwa above 18 DSTV jamaa akawa anabambia demu na kupiga madenda ya kufa mtu huku anamchezea manyonyo demu kwenye ile movie hapo tuko wawili tu na HG na remote ilikuwa mbali kwa hiyo tukawa tunaangalia yule HG si akaanza kubana bana miguu huku anahema hovyo baadae akakimbia chumbani kwake huku anacheka. mie nikawa najichekea kimoyo moyo baadae akatoka tena kuja kuangalia TV wakati mie naendelea kuangalia akawa kapiga kanga tu kajifunika kuanzia maziwa mpk mapaja halafu akakaa kajichanua. mie uzalendo ukawa unanishinda ila nikakomaa tu simsemeshi ila nikawa namsoma nione mwisho wake
baadae nikawa nataka kutoka kwenda kulala akaniambia anashida anataka kuongea na mie moyoni nikajisemea haya sasa makubwa nikamuuliza una shida gani kakaa kimya huku nachezea vidole nikamchengia kidogo na kumuuliza kwa ukali unashida gani kimya nikaamua kwenda kulala kesho yake asubuhi nikamuuliza tena ulikuwa na shida gani akasema alikuwa anaomba elfu 20 akanunue nguo nikampa nikaenda job, baadae nikawa namkwepa nikirudi home nakula then chumbani
ila nilichikuja kugundua ni kwamba wife alikuwa anambana sana kutoka nje wakati nae alikuwa na manyegele kama watu wengine. Alipokuja kuondoka toka mwaka huo 2007 tunawaajiri wa kiume tu