Wanaume nawapeni codes za kuishi nazo

Wanaume nawapeni codes za kuishi nazo

CARIFONIA

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2013
Posts
616
Reaction score
1,453
Wanaume,

Siyo kila mtu katika sehemu yako ya kazi ni rafiki yako. Fanya kazi yako. Pokea malipo yako. Rudi nyumbani. Wenzako wa kazini si marafiki zako.

Kila mtu yupo pale kwa sababu ya kipato. Pesa zinapohusika, watu husalitiana .
Usiwe mzungumzaji sana. Fanya kazi yako na rudi nyumbani.

Usijishirikishe kwenye minyororo ya umbea.

Unaweza kuwa maarufu sana kazini kwako, lakini ukifutwa kazi leo, hakuna mtu kazini atakayekupigia simu baada ya wiki mbili.

-Epuka umbea.
-Usijisifu.
-Fanya kazi yako.
-Pokea mshahara wako.
-Rudi nyumbani.
-Tunza maisha yako binafsi.

-Acha kuwaambia mabosi wako mambo yasiyo na maana kuhusu wafanyakazi wenzako.
Fanya kile unacholipwa kufanya, halafu rudi nyumbani.

Rudi nyumbani ndugu, maana usiku huja na giza lake.

Darasa limefungwa.
 
Njaa ikiendekezwa, uwezo wa kutafajari yajayo hupungua. Wenyewe wanapenda umbea na kusigiana kunguni kwa boss ili kupata fursa
 
Wanaume,

Siyo kila mtu katika sehemu yako ya kazi ni rafiki yako. Fanya kazi yako. Pokea malipo yako. Rudi nyumbani. Wenzako wa kazini si marafiki zako.

Kila mtu yupo pale kwa sababu ya kipato. Pesa zinapohusika, watu husalitiana .
Usiwe mzungumzaji sana. Fanya kazi yako na rudi nyumbani.

Usijishirikishe kwenye minyororo ya umbea.

Unaweza kuwa maarufu sana kazini kwako, lakini ukifutwa kazi leo, hakuna mtu kazini atakayekupigia simu baada ya wiki mbili.

-Epuka umbea.
-Usijisifu.
-Fanya kazi yako.
-Pokea mshahara wako.
-Rudi nyumbani.
-Tunza maisha yako binafsi.

-Acha kuwaambia mabosi wako mambo yasiyo na maana kuhusu wafanyakazi wenzako.
Fanya kile unacholipwa kufanya, halafu rudi nyumbani.

Rudi nyumbani ndugu, maana usiku huja na giza lake.

Darasa limefungwa.
Una uhakika kuwa hizi point zinafaa kuzingatiwa na mwanaume tu au mi sijakuelewa?
 
Wanaume,

Siyo kila mtu katika sehemu yako ya kazi ni rafiki yako. Fanya kazi yako. Pokea malipo yako. Rudi nyumbani. Wenzako wa kazini si marafiki zako.

Kila mtu yupo pale kwa sababu ya kipato. Pesa zinapohusika, watu husalitiana .
Usiwe mzungumzaji sana. Fanya kazi yako na rudi nyumbani.

Usijishirikishe kwenye minyororo ya umbea.

Unaweza kuwa maarufu sana kazini kwako, lakini ukifutwa kazi leo, hakuna mtu kazini atakayekupigia simu baada ya wiki mbili.

-Epuka umbea.
-Usijisifu.
-Fanya kazi yako.
-Pokea mshahara wako.
-Rudi nyumbani.
-Tunza maisha yako binafsi.

-Acha kuwaambia mabosi wako mambo yasiyo na maana kuhusu wafanyakazi wenzako.
Fanya kile unacholipwa kufanya, halafu rudi nyumbani.

Rudi nyumbani ndugu, maana usiku huja na giza lake.

Darasa limefungwa.
Uzi mzuri sana
 
Mkuu mwenye akili timamu ataishi kwa taadhari mahali popote sio kazini tuu
 
Back
Top Bottom