Wanaume nchini kuvalia njuga suala la binti wa Yombo ni sababu imehusisha 'mchepuko'?

Wanaume nchini kuvalia njuga suala la binti wa Yombo ni sababu imehusisha 'mchepuko'?

Mwanamke mwenzako ndo kawatuma wale jamaa pengine kawalipa, unafikiri sisi wanaume tuna roho ngumu kama nyie?

Pia watuhumiwa mitafurahi walichukuliwa hatua kali.
Wanaume ndo mnafanya hivi, unao watuma na wee mwenyewee mnamla kiboga mgoni wenu. Lol
 
Hao Jamaa itakuwa bangi mtu sidhani kama wana akili timamu, na chanzo cha yote hayo ni mwanamke aliyewatuma. Sasa wanawake jinsi mlivyokuwa hamna akili, mume anachepuka, badala ushughulike na mumeo, unamtumia majambazi Binti mdogo kama vile ambaye pengine kadanganywa na mume kuwa mume hajaoa.
Na wanaume nao je? Mbna mnashindwaga kudeal na wake zenu, mnawaparamia majamaa yanayowakaza wake zenu.

Unaongea nn wee hapa? Khaaaah
 
Na wanaume nao je? Mbna mnashindwaga kudeal na wake zenu, mnawaparamia majamaa yanayowakaza wake zenu.

Unaongea nn wee hapa? Khaaaah
Nyie mna roho mbaya kuliko shetani, mkiwa mama wa kambo mtamtesa huyo mtoto mpaka basi, ila sisi baba wa kambo hatuna muda wa kutesa watoto wa kufikia, kwanza hata nyie kwa nyie hampendani, sijui ni viumbe wa namna gani nyie
 
Nyie mna roho mbaya kuliko shetani, mkiwa mama wa kambo mtamtesa huyo mtoto mpaka basi, ila sisi baba wa kambo hatuna muda wa kutesa watoto wa kufikia, kwanza hata nyie kwa nyie hampendani, sijui ni viumbe wa namna gani nyie
Hapa suala ni Usaliti, unachanganyaa mada, Lol
 
Kama hamna roho ngumu mngekubali kumuingilia kabinti kadogo kama kale tena kwa mfululizo, naona unajisahaulisha wanaume huwa wanafanya nini wanaume wenzao wanaowakuta na wapenzi wao achilia mbali mke. Tena kaa kwa kutulia
Wale sio wanaume, ni wavulana.
 
Wakuu mko salama?

Declaration: Sitetei wala ku-support masuala ya ukatili kwa namna yoyote ile

Sasa twende kwenye mada husika, kuna jambo limenishangaza kiasi kwenye kesi hii inayoendelea kumuhusu 'binti wa Yombo' na wabakaji waliotumwa na 'Afande'.

Kilichonishangaza siyo kwa polisi kujaribu kuwatetea wabakaji maana hili ni katika kusafisha jina lao, tunategemea watafanya kila njia kuhakikisha image yao inaendelea kuwa safi, labda kama mtuhumiwa atakuwa na mkono mfupi hapa unachomwa tu tena kwa hasira😅.

Mshangao wangu upo kwa wanaume wa kibongo kutetea kwenye suala la sexul abuse (unyanyasaji wa kingono) bila kusema "Akome kula vya watu", "Alifikaje humo chumbani?", "Huyu alijitakia," "Lazima kuna sababu hawezi tu kufanyiwa hivi hivi" na list inaendelea. Maana wanaume wengi ni kama huwa wanaona kuna ka justification kwenye unyanyasaji kwa wanawake, ishu ikitokea utasikia kwani alifanya nini? Lazima tu itakuwa kuna sehemu amekorofisha ndio maana amefanyiwa hivyo.

Je, ni kwasababu anayedaiwa kuwatuma wale watu ni 'Afande' au sababu ni ishu ya mchepuko?

Kwenu wana MMU
Wanaume hawana roho mbaya
 
Suala la Gender hapa halihusiani kabisa,kinachotokea ni mtazamo wa mtu mwenyewe na akili yake ya hovyo,Wapo Wanaume wengi na Wanawake wengi wanaopinga hili tena kwa nguvu kubwa,lakini wapo Wanaume wengi na Wanawake kwa sababu ya kutokuelewa na ujinga mwingi,Wanaona kilichotokea ni sawa tu kwa binti kufanyiwa vile.
Imagine wale jamaa leo wangeingia kwenye mikono ya Wanaume wenye hasira kali, saa nyingi sana Maiti zao zingekuwa zinasubiri kuzikwa au ingekuwa tayari washazikwa na serikali ingekuwa inawasaka Wanaume hao walio amua kuwaangamia wasaliti wale,maana wale jamaa kwa aina ya kazi zao, wanafaaa kabsa kuingia katika orodha ya Wasaliti
 
Ila ukishajiita au kuwa cute tayari Kuna vitu vinakuwa haviko sawa!jamii inapambana kuhakikisha Binti anakuwa salama we unakuja na gender
Hoja hii tulishaijibu kwamba, jambo hili lipo kisaikolojia zaidi.

Watu huwa hawapendi mtu mwingine awaye yote kumzidi yeye kufanya jambo lolote ambalo yeye hulifanya.

Ndiyo maana mtu mwizi akisikia kuna wizi umetokea ama mwizi kakamatwa, anakimbilia kuuliza kachukua ama kaiba nini?

Mzinzi naye hivyo hivyo, kama kuna mtu kashikwa ugoni utasikia anauliza: 'yaani kakamatwa naye wakifanya kabisa, mimi siwezi kukubali'.

Watu wote wanaofuatilia jambo hili siyo kusema kwamba wote ni raia wema.

Wengi wao wanauliza ili wapate majibu ya kujengea jaziba zao zipande ili wakasirike watukane kupata afueni.

Mgoni huuawa na mzinzi.

Mwizi huuawa na wezi.

Mpokea rushwa hufungwa na hakimu mla rushwa.

Wazinzi wamekasirika Tz nzima si kwa sababu hao wabaka wamehoroganya tu maadili peke yake hapana, ni kwa sababu wenzao hao ni next level, wamefanya uzinzi wa kufuru, lazima hawa roho ziwaume sana.

Ndiyo maana Yesu alipangua hasira za wote waliotaka kumburuta kahaba kwa kisago: ... 'yayote ambaye hajawahi kutenda dhambi na awe wa kwanza kurusha jiwe'... Hakuna hata mmoja aliyethubutu, haooo wakatawanyika.

Kiukweli kila mmoja wetu akijiangalia kwenye kioo cha ndani ya roho yake ni mashudu. Ila kupaza sauti kulaani litokeapo jambo kama hilo ni lazima ila si kwa sifa za usafi wetu.
 
Wanaume ndo mnafanya hivi, unao watuma na wee mwenyewee mnamla kiboga mgoni wenu. Lol
Wanajikuta kujisahaulisha na kujifanya kwa kwanza kuchukia ushoga wakati wenyewe ndio walaji😂😂
 
Na wanaume nao je? Mbna mnashindwaga kudeal na wake zenu, mnawaparamia majamaa yanayowakaza wake zenu.

Unaongea nn wee hapa? Khaaaah
Muongeze dozi mpaka imuingie vizuri
 
Nyie mna roho mbaya kuliko shetani, mkiwa mama wa kambo mtamtesa huyo mtoto mpaka basi, ila sisi baba wa kambo hatuna muda wa kutesa watoto wa kufikia, kwanza hata nyie kwa nyie hampendani, sijui ni viumbe wa namna gani nyie
Ahhh wee mara ngapi umesikia baba wa kambo kabaka watoto? Kama ilivyokuwa kuna baadhi ya makatili kwa wanawake ndiyo hivyo hivyo kuna exception kwenu lakini rate ya ukatili iko zaidi kwa wanaume kuliko kwa wanawake
 
Wanaume hawana roho mbaya
Tena usianze, mngekua na roho nzuri huo unyama tusingeona ukifanyika... na usije na kisingizio cha kipuuzi "..waliagizwa na afande"... wao sio bata kusema hawana akili za kutambua baya na zuri
 
Back
Top Bottom