Wanaume ndo mnafanya hivi, unao watuma na wee mwenyewee mnamla kiboga mgoni wenu. LolMwanamke mwenzako ndo kawatuma wale jamaa pengine kawalipa, unafikiri sisi wanaume tuna roho ngumu kama nyie?
Pia watuhumiwa mitafurahi walichukuliwa hatua kali.
Na wanaume nao je? Mbna mnashindwaga kudeal na wake zenu, mnawaparamia majamaa yanayowakaza wake zenu.Hao Jamaa itakuwa bangi mtu sidhani kama wana akili timamu, na chanzo cha yote hayo ni mwanamke aliyewatuma. Sasa wanawake jinsi mlivyokuwa hamna akili, mume anachepuka, badala ushughulike na mumeo, unamtumia majambazi Binti mdogo kama vile ambaye pengine kadanganywa na mume kuwa mume hajaoa.
Nyie mna roho mbaya kuliko shetani, mkiwa mama wa kambo mtamtesa huyo mtoto mpaka basi, ila sisi baba wa kambo hatuna muda wa kutesa watoto wa kufikia, kwanza hata nyie kwa nyie hampendani, sijui ni viumbe wa namna gani nyieNa wanaume nao je? Mbna mnashindwaga kudeal na wake zenu, mnawaparamia majamaa yanayowakaza wake zenu.
Unaongea nn wee hapa? Khaaaah
Hapa suala ni Usaliti, unachanganyaa mada, LolNyie mna roho mbaya kuliko shetani, mkiwa mama wa kambo mtamtesa huyo mtoto mpaka basi, ila sisi baba wa kambo hatuna muda wa kutesa watoto wa kufikia, kwanza hata nyie kwa nyie hampendani, sijui ni viumbe wa namna gani nyie
Mama wa kambo kumtesa mtoto ni usaliti?Hapa suala ni Usaliti, unachanganyaa mada, Lol
Au ni roho mbaya ya kike?Mama wa kambo kumtesa mtoto ni usaliti?
Wale sio wanaume, ni wavulana.Kama hamna roho ngumu mngekubali kumuingilia kabinti kadogo kama kale tena kwa mfululizo, naona unajisahaulisha wanaume huwa wanafanya nini wanaume wenzao wanaowakuta na wapenzi wao achilia mbali mke. Tena kaa kwa kutulia
LamomySasa Mkuu suala la ID yangu kuwa na 'Cute' limeingiaje hapa?
Wanaume hawana roho mbayaWakuu mko salama?
Declaration: Sitetei wala ku-support masuala ya ukatili kwa namna yoyote ile
Sasa twende kwenye mada husika, kuna jambo limenishangaza kiasi kwenye kesi hii inayoendelea kumuhusu 'binti wa Yombo' na wabakaji waliotumwa na 'Afande'.
Kilichonishangaza siyo kwa polisi kujaribu kuwatetea wabakaji maana hili ni katika kusafisha jina lao, tunategemea watafanya kila njia kuhakikisha image yao inaendelea kuwa safi, labda kama mtuhumiwa atakuwa na mkono mfupi hapa unachomwa tu tena kwa hasira😅.
Mshangao wangu upo kwa wanaume wa kibongo kutetea kwenye suala la sexul abuse (unyanyasaji wa kingono) bila kusema "Akome kula vya watu", "Alifikaje humo chumbani?", "Huyu alijitakia," "Lazima kuna sababu hawezi tu kufanyiwa hivi hivi" na list inaendelea. Maana wanaume wengi ni kama huwa wanaona kuna ka justification kwenye unyanyasaji kwa wanawake, ishu ikitokea utasikia kwani alifanya nini? Lazima tu itakuwa kuna sehemu amekorofisha ndio maana amefanyiwa hivyo.
Je, ni kwasababu anayedaiwa kuwatuma wale watu ni 'Afande' au sababu ni ishu ya mchepuko?
Kwenu wana MMU
Hoja hii tulishaijibu kwamba, jambo hili lipo kisaikolojia zaidi.Ila ukishajiita au kuwa cute tayari Kuna vitu vinakuwa haviko sawa!jamii inapambana kuhakikisha Binti anakuwa salama we unakuja na gender
Ahhh wee mara ngapi umesikia baba wa kambo kabaka watoto? Kama ilivyokuwa kuna baadhi ya makatili kwa wanawake ndiyo hivyo hivyo kuna exception kwenu lakini rate ya ukatili iko zaidi kwa wanaume kuliko kwa wanawakeNyie mna roho mbaya kuliko shetani, mkiwa mama wa kambo mtamtesa huyo mtoto mpaka basi, ila sisi baba wa kambo hatuna muda wa kutesa watoto wa kufikia, kwanza hata nyie kwa nyie hampendani, sijui ni viumbe wa namna gani nyie