INJECTION TECHNICIAN
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 356
- 794
Walla bata hao, hakuna majungu wala masufuria hapoNa kucheka kote huko mpaka kuwekwa duara unaweza kukuta hawajuani majina wala wanapoishi
Kongole wanaume
Using tayari[emoji38][emoji38]
Sio kweli[emoji14]Itachukua mwezi mzima mpaka wajuane na kila siku wanakutana
Hakika wabarikiwe sanaWanaume ni watu wazuri sana na wana mioyo ya tofauti ila mapito tunayowapitisha wanawake ndo tunawafanya muonekane wabaya
Wanaume mwenyezimungu awabariki
Aisee upo wapi? Nikuchomee nusu mbuzi ndizi 2 na Malta baridiWanaume ni watu wazuri sana na wana mioyo ya tofauti ila mapito tunayowapitisha wanawake ndo tunawafanya muonekane wabaya
Wanaume mwenyezimungu awabariki
Ukweli mtupuNa kucheka kote huko mpaka kuwekwa duara unaweza kukuta hawajuani majina wala wanapoishi.
Kongole wanaume.
Using tayari😆😆
View attachment 2443455