Wanaume nyie na "bank tellers"

alf usikute mtu kapeleka v laki2 vyake basi akifika anavimba
 
Jamani pole baba yeyoo kwa mfungo nimefurahi sana kukuona

Lakini Mama Yeyoo mbona unataka kunifanyia kama teller wa bank, kwanini tumsumbue Hemed wa watu wakati unaweza nifanikishia hilo la namba?

Baadae ntaweza kuonana nae leo.
Mzigua90 amekuuza kwa nani safari hii?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sawa baba yeyoo ngoja nifanikishe juzi hemed ananipigia kuna mtu kakosea mzigo akajua wewe umetuma bahati nzuri nilikuwa mbali na simu kuja kumpigia anasema basi nikajua shemeji kakutumia hemedi chizi sana anakuita shemeji

Mzigo bado hajaniuza kwa yeyote jamani
Lakini Mama Yeyoo mbona unataka kunifanyia kama teller wa bank, kwanini tumsumbue Hemed wa watu wakati unaweza nifanikishia hilo la namba?

Baadae ntaweza kuonana nae leo.
Mzigua90 amekuuza kwa nani safari hii?
 
Kwa akili zako unatuona Wanaume wajinga sio??...TUNAANDAA MAZINGIRA YA MKOPO, kwahiyo lazima uwe na insider wa kurahisisha mambo. Ohooo
 
Sidhani kama sisi wanaume ndiyo tunashida na hao Bank Tellers wa kike...

Mara nyingi ni hao wanawake wenyewe ndiyo wanaanzaga shobo za kuongelesha...


Cc: mahondaw
 
CRDB azikiwe(sio premier),kuna kadada keupe sijui kako under 20 kale,kazuri kinoma aisee..ngoja,nitafunga safari kutoka chanika mpaka posta kufanya banking ili nikamwone again
hahaaaa, baada ya kumaliza sasa,ushakaona tayari kuna safari ya kurudi chanika kwenu + foleni,aisee kama nakuona utakavoasikia uvivu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…