Wanaume oeni yatima, hamtojutia

Wanaume oeni yatima, hamtojutia

Miaka mitatu iliyopita nilioa mwanamke kutoka familia ambayo alikuwa na wazazi wote, kwa kweli ndoa ilikuwa pasua kichwa , mwanamke akajaza vitimbi

Siku moja nikamwambia mjomba wangu kuhusu hali mbaya ya ndoa yangu, akanishauri achana na huyo mwanamke tafuta mwanamke ambaye ni yatima, ambaye maisha yake ya uyatima aliyaishi akiwa kati ya miaka 0 na 23, oa huyo utakuja kunishukuru sana

Ni kweli kabisa nimetoa shukrani kwa mjomba kwa ushauri aliyonipa ni miaka 2 imepita sasa na hajawahi kuleta mgogoro na mjomba alioa yatima anaishi kwa amani sana na mimi nakushauri tafuta yatima oa, ndoa yako itakuwa salama sana, na wanawake wa hivi wananidhamu, upendo, huruma, na wanyenyekevu ila ukimuudhi ni rahisi kububujikwa na machozi na nzuri zaidi mme wake ndiyo humfanya kama baba yake mzazi ambaye alimuacha akiwa mdogo
Mimi apa yatima nataka mume
 
Mnahangaika sana. Mara usioe mwanamke maskini atakuua abebe mali, usioe mwanamke tajiri atakunyanyasa, usioe mwanamke asielelewa na baba na mama atakua na tabia mbaya, usioe mwanamke mwenye wazazi wote wawili atakua na kiburi.

Kazi ipo na mnakoelekea ni kuoa migomba maana wanadamu wamewashinda [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi kweli kweli [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Miaka mitatu iliyopita nilioa mwanamke kutoka familia ambayo alikuwa na wazazi wote, kwa kweli ndoa ilikuwa pasua kichwa , mwanamke akajaza vitimbi

Siku moja nikamwambia mjomba wangu kuhusu hali mbaya ya ndoa yangu, akanishauri achana na huyo mwanamke tafuta mwanamke ambaye ni yatima, ambaye maisha yake ya uyatima aliyaishi akiwa kati ya miaka 0 na 23, oa huyo utakuja kunishukuru sana

Ni kweli kabisa nimetoa shukrani kwa mjomba kwa ushauri aliyonipa ni miaka 2 imepita sasa na hajawahi kuleta mgogoro na mjomba alioa yatima anaishi kwa amani sana na mimi nakushauri tafuta yatima oa, ndoa yako itakuwa salama sana, na wanawake wa hivi wananidhamu, upendo, huruma, na wanyenyekevu ila ukimuudhi ni rahisi kububujikwa na machozi na nzuri zaidi mme wake ndiyo humfanya kama baba yake mzazi ambaye alimuacha akiwa mdogo
Sasa itabidi na wewe ukizaa mtoto wa kike ufe wewe pamoja na mama yake ili binti yako apate soko baadae, maana umeshauri kwamba vijana waoe yatima, imagine binti yako sio yatima halafu wewe umeshahamasisha watu waoe yatima, huoni kwamba binti atakosa soko?
 
Sio lazima awe yatima ++
Oa yeyote ambaye mama yake alishafariki, wakwe wa kiume sio tatizo.
Sasa wewe ingia Cha kike uoe ambaye baba yake alishakufa kitambo akalelewa na mama tu, au oa mtoto wa singo maza.
 
Daaah update mwanamke ambaye amelelewa na single mother🤔. Ni mtihani aisee
 
Kuna siku mtasema muoe viziwi? Ok ni hv anachosema mtoa mada ni sahihi hata mim nimeoa yatima nikiwa na miaka 19 mpaka leo nina miaka nae 9 so wako vizur
Ni Kipofu au anaona?
 
Mnahangaika sana. Mara usioe mwanamke maskini atakuua abebe mali, usioe mwanamke tajiri atakunyanyasa, usioe mwanamke asielelewa na baba na mama atakua na tabia mbaya, usioe mwanamke mwenye wazazi wote wawili atakua na kiburi.

Kazi ipo na mnakoelekea ni kuoa migomba maana wanadamu wamewashinda [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukienda kuoa angalia nani mwenye kauli kwenye familia kati ya Baba na Mama, ukiona Mama ndio mwenye kauli kijana jiandae kisaikolojia hapo jiandae kuburuzwa maana huyo binti kakopi familia yake inavyoendeshwa kimama Mama, ukikuta mwenye kauli ni Baba Oa fasta tena usiulize mahari mara 2 na usiweke hata deni maliza ingawa wanasema mahari haimalizwi
 
Miaka mitatu iliyopita nilioa mwanamke kutoka familia ambayo alikuwa na wazazi wote, kwa kweli ndoa ilikuwa pasua kichwa , mwanamke akajaza vitimbi

Siku moja nikamwambia mjomba wangu kuhusu hali mbaya ya ndoa yangu, akanishauri achana na huyo mwanamke tafuta mwanamke ambaye ni yatima, ambaye maisha yake ya uyatima aliyaishi akiwa kati ya miaka 0 na 23, oa huyo utakuja kunishukuru sana

Ni kweli kabisa nimetoa shukrani kwa mjomba kwa ushauri aliyonipa ni miaka 2 imepita sasa na hajawahi kuleta mgogoro na mjomba alioa yatima anaishi kwa amani sana na mimi nakushauri tafuta yatima oa, ndoa yako itakuwa salama sana, na wanawake wa hivi wananidhamu, upendo, huruma, na wanyenyekevu ila ukimuudhi ni rahisi kububujikwa na machozi na nzuri zaidi mme wake ndiyo humfanya kama baba yake mzazi ambaye alimuacha akiwa mdogo
Ukiona kobe kainama? Miaka 2 bado unaolewa wewe. Viumbe hao mama yao mmoja. Nakupa miaka 2 mbele,uje na uzi mwingine.
 
Back
Top Bottom