Mbona wanawake wengi ndio wako hivyo siku hizi(kwa sauti yako)Ukiona mwanamke yupo hivyo ujue Ni hamnazo au hakukupenda.
Mwanamke mwenye malengo dhabiti ya mahusiano na ndoa,hawezi kufanya hivyo.
Wanaofanya hivyo Ni wale wahuni,walio na malengo ya kuchuma pesa kupitia kwa mwanaume.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao ni wanaume wahuni wasiojua thamani ya mtu anayejitolea kuwathamini... ukimthamini sana anajiona kakushika anaota mapembe, lakini ukimpata ukimpa Prince charming wa kweli wala huwezi kukutana na hayo maswahibu.Naongea niliyoyaona Mimi..
Yaani unakuta unajichanganya kumuonyesha mtu unampenda Sana...akijua tu basi atakunyanyasa anavyotaka maana anadhani huwezi kuondoka,aisee aliyevumilia mateso Hadi mwisho Ni Yesu tu.
Wanaume huwa hamjui mnachokitaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Whozhaaaaaaaa[emoji2960][emoji3526][emoji7][emoji8][emoji7][emoji7][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Mambo hayo jamani [emoji7][emoji7][emoji7]
Shoga usinisahau weekend
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama la mama karma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mambo yamenogaaa[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85] usijali shogaangu mi na weye tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefurahi....
Waifu material wewe[emoji7][emoji7][emoji7]
Hahahahaah twenti twenti[emoji91]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296] mmhh hizi sifa mbona sijawahi kupewa tangu tufahamiane dada kwema [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Naiona strong sisterhood kwenye neema mnaitana tu, akiitwa mmoja wote mmo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Twenti twenti hii dogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Vizuri Karma, maana yule Edelyn na Marianah alikuwa anafanya watu wanagombana na keyboard mpaka wanataka kupigwa ban[emoji1][emoji1][emoji1]
Inatakiwa walime hata kidogoAisee kulipa hapo utawaua, yaani wale kulima huwa wanakuskia tu.. kwanza hata mmea wa karanga tu hawajawahi kuuona, wao hata kufyeka tu majani kwenye miji yao wanatafutaga vibarua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naiona strong sisterhood kwenye neema mnaitana tu, akiitwa mmoja wote mmo.
Mmenikumbushaa nyakati fulani hivi wakati nimejiweka kwa denti mmoja muharamia alivyonikosa kosa kuninyonya damu yeye na kampani lake. Alooo nilitoka nduki hadi leo sijawahi kuingia tena kwenye mtego kama ulee.
Msiogope lakini, mpango wangu weekend hii uko pale pale. Acha tuifanye January ifanane kidogo na December!!
Cheeers[emoji481][emoji481][emoji481][emoji481]
Sent using Jamii Forums mobile app
Vizuri Karma, maana yule Edelyn na Marianah alikuwa anafanya watu wanagombana na keyboard mpaka wanataka kupigwa ban[emoji1][emoji1][emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona Ni wote tu tukiwapenda Sana mnaota mapembeHao ni wanaume wahuni wasiojua thamani ya mtu anayejitolea kuwathamini... ukimthamini sana anajiona kakushika anaota mapembe, lakini ukimpata ukimpa Prince charming wa kweli wala huwezi kukutana na hayo maswahibu.
Pendekezo: achanani na wanaume wahuni ni bahati mbaya sana eti hao wanaume mabandidu ndio huwa mnatokea kuwaelewa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi hatutakunyonya damu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naiona strong sisterhood kwenye neema mnaitana tu, akiitwa mmoja wote mmo.
Mmenikumbushaa nyakati fulani hivi wakati nimejiweka kwa denti mmoja muharamia alivyonikosa kosa kuninyonya damu yeye na kampani lake. Alooo nilitoka nduki hadi leo sijawahi kuingia tena kwenye mtego kama ulee.
Msiogope lakini, mpango wangu weekend hii uko pale pale. Acha tuifanye January ifanane kidogo na December!!
Cheeers[emoji481][emoji481][emoji481][emoji481]
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi Sana...Vizuri Karma, maana yule Edelyn na Marianah alikuwa anafanya watu wanagombana na keyboard mpaka wanataka kupigwa ban[emoji1][emoji1][emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini tutafanyaje sasa na ndiyo mama zetu inatubidi tukubaliane nao tu kwa kila wanachokitaka..
Duuuh.... aiseeeSafi Sana...
Naona wote mmebadilika..maana yule lizarazu wa zamani alikuwa anashusha magazeti kutuchamba wadada Hadi tunatamani kuikimbia jf
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna namna they're infallible.Lakini tutafanyaje sasa na ndiyo mama zetu inatubidi tukubaliane nao tu kwa kila wanachokitaka..
Bahati mbaya mwenzio Leo hayupo kwenye ligi.Lakini tutafanyaje sasa na ndiyo mama zetu inatubidi tukubaliane nao tu kwa kila wanachokitaka..