klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
Lizzy uporoto01 si ni kaka yako lolz!!!
Tuongee kidogo my brother......!!!
hehehe ankal ,hii trend ya kuanza na u kaka halaf u braza halaf ikaishia ATM naona imekuwa kafeshen hapa JF sku hizi. hivi mimi ni kaka wa nani hapa JFAlright!!!!
We si ni kaka wa INVISIBLEhehehe ankal ,hii trend ya kuanza na u kaka halaf u braza halaf ikaishia ATM naona imekuwa kafeshen hapa JF sku hizi. hivi mimi ni kaka wa nani hapa JF
hehehe ankal ,hii trend ya kuanza na u kaka halaf u braza halaf ikaishia ATM naona imekuwa kafeshen hapa JF sku hizi. hivi mimi ni kaka wa nani hapa JF
Haha hahaha ahaha mbona unakataa kwa nguvu hivyo bana hata ankal wangu klorokwin anajua kuwa uporoto01 ni kaka yako:A S 13: Wala sio!!!
dah! acha niendelee kuwa yatima tu.We si ni kaka wa INVISIBLE
albam naingia mjengoni kuanzia kesho, yaani hapa nishanunua raba mpya, kwa ufupi nitahitaji kuitwa ATM vere soon.vipi ile albamu bro??
Aha ahahaha hauko yatima ankal ongea vizuri naweza nikakufikiria kwa Michelle lolzdah! acha niendelee kuwa yatima tu.
Uporoto01 bado underground inabidi apige sana mazoezi ya vina na sautiFyne the Fynest!!!
:wink2:
dah! acha niendelee kuwa yatima tu.
Aisee!!!! Keren nilikuwa sijui kuhusu hilo kumbe ankal anajifanya yatima wakati wewe upo lolzHapana..iweje uwe yatima bana....... yaani hata mimi umenisahau dada yako.. mwenye jina linalokupa nguvu...LOL
aargh michelle matawi ya chini bana, anataka nimpeleke gesti za sinza wakati mimi nikivuta hewa ya maeneo ya sinza nakuwa diabetic. michelle mpelekee hashy. wafu kwa wafu wakazikaneAha ahahaha hauko yatima ankal ongea vizuri naweza nikakufikiria kwa Michelle lolz
afazali, nilipoona hii post yako tu nimeanza kupata apetaiti ya kuchana nywele. nahofia wasje wakaniloga kwa hivyo ulivyomalizia postHapana..iweje uwe yatima bana....... yaani hata mimi umenisahau dada yako.. mwenye jina linalokupa nguvu...LOL
Aisee!!!! Keren nilikuwa sijui kuhusu hilo kumbe ankal anajifanya yatima wakati wewe upo lolz
afazali, nilipoona hii post yako tu nimeanza kupata apetaiti ya kuchana nywele. nahofia wasje wakaniloga kwa hivyo ulivyomalizia post
Last time uliniambia kuwa ulilala tandale kwa mtogole na ukasema ulipapenda sana baada ya yule mtoto wa Manzese midizini kukuchanganya ukasema utamtafuta tenaaargh michelle matawi ya chini bana, anataka nimpeleke gesti za sinza wakati mimi nikivuta hewa ya maeneo ya sinza nakuwa diabetic. michelle mpelekee hashy. wafu kwa wafu wakazikane
aargh michelle matawi ya chini bana, anataka nimpeleke gesti za sinza wakati mimi nikivuta hewa ya maeneo ya sinza nakuwa diabetic. michelle mpelekee hashy. wafu kwa wafu wakazikane
Unajua huyu ankal ana matatizo ya kusahau kabisa anaweza kusahau hata hii posti niliyoaandika hapaSi ndo mimi nashangaa...... nafikiri anatafuta kuonewa huruma na kupata POLE...LOL
Last time uliniambia kuwa ulilala tandale kwa mtogole na ukasema ulipapenda sana baada ya yule mtoto wa Manzese midizini kukuchanganya ukasema utamtafuta tena