The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
:boxing::boxing::boxing::boxing::boxing::boxing::boxing::boxing::boxing:afazali, nilipoona hii post yako tu nimeanza kupata apetaiti ya kuchana nywele. nahofia wasje wakaniloga kwa hivyo ulivyomalizia post
Nimeamua awe mama wa nyumbani for the time being kwahiyo hapa JF ninam-miss nikirudi nyumbani hali inarudi kawaida l.o.lTF..naomba kuuliza, AD ameenda wapi jamani??!! Maana nakumbuka nilivyojiunga humu ndo alinikaribisha...sasa sijamwona tena! Naona wewe tu unam-miss...
Nimeamua awe mama wa nyumbani for the time being kwahiyo hapa JF ninam-miss nikirudi nyumbani hali inarudi kawaida l.o.l
WARNING: if you are too serious you better avoid me cuz I always define life as a joke.
Akiingia JF halafu akija kupika huwa anaunguza wali na maharage kwahiyo jioni tunalala njaa kwahiyo nikaona bora kwanza apumzikeMhhh...lakini hujamtendea haki bana! Kwani wamama wa nyumbani hawaruhusiwi JF??? Hapa kuna elimu kwa kila eneo....
niliwahi kumwambia lizzy kama hayo na ameshindwa hata kuyaparafrezi mpaka leo. acha niende disco tu kushangilia hii parafreziAfadhali..lakini kumbuka hayo maneno si yangu...mimi nimeparafrezi tu...
ankal umenikonfyuzi na hashycool, hii njemba ndio inakuwa inaandika iko na michelle halaf sku ya pili inasahau spelling na kuandika nilham.Unajua huyu ankal ana matatizo ya kusahau kabisa anaweza kusahau hata hii posti niliyoaandika hapa
niliwahi kumwambia lizzy kama hayo na ameshindwa hata kuyaparafrezi mpaka leo. acha niende disco tu kushangilia hii parafrezi
Ahahaha ahaaaaa hashycool sijui yuko wapi anaweza kuwa yuko MANZESE TIP TOP sasa hivi au unaweza kumkuta yuko LANGO LA JIJIankal umenikonfyuzi na hashycool, hii njemba ndio inakuwa inaandika iko na michelle halaf sku ya pili inasahau spelling na kuandika nilham.
nimeskiliza matangazo ya vifo lakini naona mpaka mida hii jina lake haliko kwenye orodha. nazani yupo uwanja wa fisi.Ahahaha ahaaaaa hashycool sijui yuko wapi anaweza kuwa yuko MANZESE TIP TOP sasa hivi au unaweza kumkuta yuko LANGO LA JIJI
Akiingia JF halafu akija kupika huwa anaunguza wali na maharage kwahiyo jioni tunalala njaa kwahiyo nikaona bora kwanza apumzike
Ngoja may be anaweza akawa ameenda kwa AMIJEI alisema ana hamu ya urojo, pia kule mkunanzini anaweza kuweponimeskiliza matangazo ya vifo lakini naona mpaka mida hii jina lake haliko kwenye orodha. nazani yupo uwanja wa fisi.
Usijali klorokwin atapika leoHapa kuna kaukweli.... hebu ngoja na mimi nisje uunguza ikawa taabu tena.....:car:
Usijali klorokwin atapika leo
Ahahaha ahaaaaamhhh!!!... kuna mashairi yamemchanganya akili huko kwenye sredi ya Shossi...anataka kutangaza kuhamia FB..ili na yeye akirudi aimbiwe..mhhh!!!
yuko kwenye sredi la mohammed shossi. hapa nazani anamkimbia michelle. si unajua ATM ya hashy imeisha betri?Ngoja may be anaweza akawa ameenda kwa AMIJEI alisema ana hamu ya urojo, pia kule mkunanzini anaweza kuwepo
sheria za JF haziruhusu kuquote signature, you have been warned
ankal umenikonfyuzi na hashycool, hii njemba ndio inakuwa inaandika iko na michelle halaf sku ya pili inasahau spelling na kuandika nilham.
kwenye manual instruction yenu, reverse gear hairuhusiwi?yaliyopita si ndwele,tunaganga yajayo.....usituruidishe nyuma......:rain:
Ahahaha ahaaaaa hashycool sijui yuko wapi anaweza kuwa yuko MANZESE TIP TOP sasa hivi au unaweza kumkuta yuko LANGO LA JIJI