Wanaume sio ATM!!!


Usijali VoR wekeza kwa kutoa ili siku ukiishiwa na wewe upewe!!!:coffee:
 
Afu uatkuta inapanga foleni kwa babu wachanjwe machale eti hawaolewi kumbe mwenyewe mchawi!

Nakwambia!!!Inabidi watu wawe waangalifu jinsi wanavyojionyesha kwa mtu!!Inaweza kukuchomea picha hata kama mambo yalikua yameanza kukaa vizuri!!!
 
Ni ushamba!!!Na huyo anaekubali kumsindikiza mwenzake kwenye date wakati sio dabo deiti sijui anakua anafikiria nini!!:thinking:
Mmhh Lizzy labda dada ni muoga au mtu wa aibu na hajui ataongea nini na anataka mtu wa kumsaidia kumake a conversation, yaani back-up asije akasema the wrong things.. (ujasiri unatofautiana)
 

Hapo Mtu anakua anataka maongezi na wewe au ushuhuda??:twitch:
 
Mkuu first date niwe mwandani wako?? Kwa imani au!! Afu nitumie nitabana matumizi kaka angu!!
Hapana LD hata huyo mwandani wako once alikuwa a first date...., ninachosema just mtu kuja na mwenzake siku ya kwanza isiwe sababu tosha ya kumpiga kibuti..., ndio ingawa itakufanya kuwa alert, lakini labda kuna motive nzuri.., ila hayo ya kutanua kwa mfuko wa mwenzako hata mimi sikubaliani nayo..
 
Mmhh Lizzy labda dada ni muoga au mtu wa aibu na hajui ataongea nini na anataka mtu wa kumsaidia kumake a conversation, yaani back-up asije akasema the wrong things.. (ujasiri unatofautiana)

Voice under 18 au!!
 
Haya tutaonana baadae!!
 
Usijali VoR wekeza kwa kutoa ili siku ukiishiwa na wewe upewe!!!:coffee:
Sio mpaka niishiwe kesho yake akiniita naweza kumueleza hali halisi kwamba nipo broke sina kitu kwahiyo its up to her kufanya kitu ambacho hakina gharama au yeye ndio anitreat (tena asiwe na wasiwasi sababu takuja peke yangu)..., Nadhani hapa wanaume pia tuna makosa sababu hatuko wawazi au wakweli tupo radhi tukakope ili tu-impress mtu kwamba zipo hata kama hazipo
 
Mmhh Lizzy labda dada ni muoga au mtu wa aibu na hajui ataongea nini na anataka mtu wa kumsaidia kumake a conversation, yaani back-up asije akasema the wrong things.. (ujasiri unatofautiana)

Mhhhh inawezekana kwa wengine ila kwenye hii kesi....wenye aibu yeye sio mmoja wao!!!Na hiyo ilikua ni official 1st date ila wameshawahi kua wenyewe mara kadhaa....ya kwanza dada alikua anaenda shopping mshkaji akamsindikiza na akamgharamia...then alikua anasafiri akaomba apelekwe airport!!Sasa hiyo aibu inatoka wapi siku hiyo na sio kabla???:twitch:
 
Voice under 18 au!!
Mhh... LD???
Hujui kwamba first date nyingine huwa ni za kuogopa na mtu anaogopa kufanya wrong move..?, yaani she wont be herself hata kama ana miaka 50 plus she might act as a teenager...(kwahiyo ile self confidence inapungua)
 

Kosa lingine mnalofanyaga....mtu huna kitu ila unaonyesha unacho!!!Kua honest ili kama mwenzio ni mchumaji tu akimbie au kama anataka mahusiano ya kweli yeye achangie mpaka mfuko wako utakapokua sawa!!!!!!
 
Duhh Kweli huyu hafai kabisa and the guy should have stopped at the shopping stage.... Huyo ni wa kuogopa kama ukoma... Duhh Lizzy ulitaka kumtumbukiza kaka wa watu kwenye matatizo???

Lakini unakubaliana na mimi it makes sense mwanzo wa mapenzi kwa dada kupenda kuwa na back-up ya mwenzake for support au?
 


Hahhahaha....Sio kwamba nlitaka kumtumbukiza kwenye matatizo ila alimuona mdada akaomba nimtambulishe so I did!!!Most of the time hua naangalia kama hawaendani namwambia mtu apotezee....ila mwishoni ikijulikana naweza kuonekana nna wivu so acha wajuane wenyewe!!!:coffee:

Mhhh kuhusu back up labda kama mtakubaliana kila mmoja aje na rafiki yake ili hata kwenye maongezi mmoja asibaki nje!!Au hata kama kaka hataki kuja na mwenzake mdada aombe au aulize kama itakua sawa akija na mwenzake!!Sio mtu ana bajeti ya 30 000 we unamuongezea 10 000 juu!!!:twitch:
 
Tena unakuta huyo mdada yeye anachojali ni starehe tu wakati mtu una malengo naye mazuri ya kimaisha
 
Tena unakuta huyo mdada yeye anachojali ni starehe tu wakati mtu una malengo naye mazuri ya kimaisha

Utadhani ndo wewe uliyekua upande wa pili wa meza Fynest!!!Mzima lakini mchumba wa muda???Lolzz!!!
 
Lizzy thanks for this useful sredi

VOR na The Finest wameongea almost mawazo yangu kabisa

Ila sasa unakuta mtu unajifanya 'kipofu', unafanya yote kulingana na demand zake, lakini omba kwenda tabenako uone kasheshe yake...visingizio kibao...hapo mtu unajua 'hii si rizki' unachapa lapa

Halafu wanakuja baadaye oooh 'tuna nuksi mbona hatuolewi au kupata BF' usawa huu kuna mtu atakubali kuchunika kinamna hiyo kweli?
 
Hivi kuna wadada wa hivi siku hizi??? Ai mie siwezi uinitoa out ujue nina pesa ya kula na kunywa (valuer) na tax ya kunirudisha home

Salama Dena Amsi,umerudi?karibu sana!!!:coffee:
 
Asilimia kubwa ya akina dada wa siku hizi wapo namna hiyo, hivyo ni jukumu la akina kaka kuwa na akili za mbayuwayu!
 
Lizzy dearest.......mi appreciate this thread,have nothing to add to your wisdom......i hope you are well today!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…