I am touched,sweetdreams dearest feeling sleepy.:wave:Anything for you dearest!
gaga hiyo ni kweli kabisa.
Nina rafiki yangu wa kike amemuhudumia mpenzi wake hadi amechoka.
Yaani wakitoka outing lady ndio analipa gharama zote.
Wote vipato vyao vidogo lakini mwanaume amekuwa kama mzigo.
Siku hiyo wameenda lodge, huyo shemeji akamuuliza rafiki yangu unakula nini, rafiki yangu akamwambia mi sijisikii kula we agiza tu cha kwako. Yule mwanaume akamwambia rafiki yangu "naomba hela".
Yaani apewe hela ya msosi.
Just imagine!!
Jana mi mabomu ya Gmboto yakaniokoa, ile nimekaa pale Banana mdada kaja na shoga zake, sijui family nikaagiza 3kgs, heiken, na redbul kadhaa hivi. Ile mabomu yanaanza tu tukakimbia kabla havijaletwa, nikawaambia nawahi home, huyoooo na kicalidina changu hadi Chang'ombe, kumbonji, huyo mdada hanipati tena.
Hahahahaaaaaaa mwe jamani lol! we avanti umenichekesha mbele ya mkoloni kha nashukuru kwa kunianzishia siku vyema
Am fine Kaizer,how are you? una kifaa kipya kinakula ATM nini mbona una beep sana siku hizi hapa JF?isije ikawa kimelamba hadi hela ya internet? manake sisi wapenda ATM tunajua kuzichota haswaaaaaaaaaaaa......l.o.l
njoo nikupeleke Pauline alipo!!!:laugh::laugh:
Mweeee!!
asee Michelle,,,,apo nikisema ndio nitaharibu kila kitu, so hapo sikatai wala sikubali
baada ya jana kunusurika mabomu nimekuja kabisa ebu nishike mkono mwenzio...nifikishe alipo tu..
hahaha dogo hujaenda kule kwen mabomu kutoa msaada wa dharura?
Khaaa! Unataka kuvunja ahadi yetuWe Fynest kisa cha kumharibia mwenzako?
Hommie leo nipo kisiasa zaidi na wahanga wa Mabomu...!!Khaaa! Unataka kuvunja ahadi yetu
Si mpaka arudi mbona unachakachua mapemaWe muda wakulindwa si karibu unaisha?Nataka wako akirudi na mimi niwe na wangu!Lolz
:tea: :clap2:Yaani my first date with u unaniijia na rafiki zako kisa security no way.
Hommie leo nipo kisiasa zaidi na wahanga wa Mabomu...!!
Hommie leo nipo kisiasa zaidi na wahanga wa Mabomu...!!