asante lakini kosa ni lako na sio wanaume....ukianza kutafuta mwenza online umekubali yote...kutakauwa wanaotaka kukugegeda na wapo kweli wanataka kuoa. hivyo ni jukumu lako weye kutumikisha mayyele ya mukichwa yako....[/QU sijaliwa ila natoa tahadhali
basi njoo nikukule
Mwanangu Ayana hebu tuliza boli. Umefanya utatifi lini na wapi na matokeo yake ni yapi kisayansi? Sioni pwenti humu zaidi ya malalamiko yako binafsi ambayo umeyatolea hitimisho la jumla.
pole sana dada ayana!...Napenda kuchukua nafasi hii kuwaonya wanaume wanaoleta mambo ya utani katika sehemu hii muhimu. Binafsi sijapenda kabisa na tabia yenu mnayoionyesha kwa wanawake/wadada. Kama hamna nia ya kutafuta wanawake mkae kimya, sio kuleta utani jamani. Pili kama umeonana na mwanamke then ukaona hana sifa just mwambie ukweli kuwa sijavutiwa na wewe kuliko kunyamaza kimya na kumfuatilia kumbe lengo lako ni kumla na kumwacha. sijapenda tabia hiyo. Sio kwamba imenitokea mimi lakini nimechunguza asilimia kubwa ya wanaume hapo jf hawako serious just joking.
Hata majina na avatar wengi ni wapuuzi sio GREAT THINKERS. JF wabadili registration iwe kama FB na Tweeter.Napenda kuchukua nafasi hii kuwaonya wanaume wanaoleta mambo ya utani katika sehemu hii muhimu. Binafsi sijapenda kabisa na tabia yenu mnayoionyesha kwa wanawake/wadada. Kama hamna nia ya kutafuta wanawake mkae kimya, sio kuleta utani jamani. Pili kama umeonana na mwanamke then ukaona hana sifa just mwambie ukweli kuwa sijavutiwa na wewe kuliko kunyamaza kimya na kumfuatilia kumbe lengo lako ni kumla na kumwacha. sijapenda tabia hiyo. Sio kwamba imenitokea mimi lakini nimechunguza asilimia kubwa ya wanaume hapo jf hawako serious just joking.
Ukiona Manyoya ujue keshaliwa huyo!
Napenda kuchukua nafasi hii kuwaonya wanaume wanaoleta mambo ya utani katika sehemu hii muhimu. Binafsi sijapenda kabisa na tabia yenu mnayoionyesha kwa wanawake/wadada. Kama hamna nia ya kutafuta wanawake mkae kimya, sio kuleta utani jamani. Pili kama umeonana na mwanamke then ukaona hana sifa just mwambie ukweli kuwa sijavutiwa na wewe kuliko kunyamaza kimya na kumfuatilia kumbe lengo lako ni kumla na kumwacha. sijapenda tabia hiyo. Sio kwamba imenitokea mimi lakini nimechunguza asilimia kubwa ya wanaume hapo jf hawako serious just joking.
Heh heh. Hivi hujui kazi ya mwanaume ni kula? WW ukijweka vibaya hata kama una sura mbaya unaliwa. Na kuliwa sio kupendwa ati. wanaliwa weeeengi anapendwa mmoja. Just FYI.