Wanaume someni inawahusu

Wanaume someni inawahusu

Siamini na wewe unafumbia macho mzee mwenzangu!
Ayana, kuwa muangalifu wewe binafsi. Namaanisha kuwa mchoyo. Hakuna ukarimu kwenye mapenzi. Sijui kama umenielewa lakini.
Mwanangu Ayana hebu tuliza boli. Umefanya utatifi lini na wapi na matokeo yake ni yapi kisayansi? Sioni pwenti humu zaidi ya malalamiko yako binafsi ambayo umeyatolea hitimisho la jumla.
 
Last edited by a moderator:
Sisi ndo wanaume,na hizo ndo Zetu!Hakuna atakayekoma bali tutabadili mtindo tu.
 
Napenda kuchukua nafasi hii kuwaonya wanaume wanaoleta mambo ya utani katika sehemu hii muhimu. Binafsi sijapenda kabisa na tabia yenu mnayoionyesha kwa wanawake/wadada. Kama hamna nia ya kutafuta wanawake mkae kimya, sio kuleta utani jamani. Pili kama umeonana na mwanamke then ukaona hana sifa just mwambie ukweli kuwa sijavutiwa na wewe kuliko kunyamaza kimya na kumfuatilia kumbe lengo lako ni kumla na kumwacha. sijapenda tabia hiyo. Sio kwamba imenitokea mimi lakini nimechunguza asilimia kubwa ya wanaume hapo jf hawako serious just joking.
pole sana dada ayana!...
 
Napenda kuchukua nafasi hii kuwaonya wanaume wanaoleta mambo ya utani katika sehemu hii muhimu. Binafsi sijapenda kabisa na tabia yenu mnayoionyesha kwa wanawake/wadada. Kama hamna nia ya kutafuta wanawake mkae kimya, sio kuleta utani jamani. Pili kama umeonana na mwanamke then ukaona hana sifa just mwambie ukweli kuwa sijavutiwa na wewe kuliko kunyamaza kimya na kumfuatilia kumbe lengo lako ni kumla na kumwacha. sijapenda tabia hiyo. Sio kwamba imenitokea mimi lakini nimechunguza asilimia kubwa ya wanaume hapo jf hawako serious just joking.
Hata majina na avatar wengi ni wapuuzi sio GREAT THINKERS. JF wabadili registration iwe kama FB na Tweeter.
 
ushauri wangu kama watafuta mchumba nenda kwenye nyumba za ibada angalau utapa wakweli la kini si kwenye mitandao ya kijamii
 
Napenda kuchukua nafasi hii kuwaonya wanaume wanaoleta mambo ya utani katika sehemu hii muhimu. Binafsi sijapenda kabisa na tabia yenu mnayoionyesha kwa wanawake/wadada. Kama hamna nia ya kutafuta wanawake mkae kimya, sio kuleta utani jamani. Pili kama umeonana na mwanamke then ukaona hana sifa just mwambie ukweli kuwa sijavutiwa na wewe kuliko kunyamaza kimya na kumfuatilia kumbe lengo lako ni kumla na kumwacha. sijapenda tabia hiyo. Sio kwamba imenitokea mimi lakini nimechunguza asilimia kubwa ya wanaume hapo jf hawako serious just joking.

Na mwanamke serious hatafuti mchumba mtandaoni.
 
Heh heh. Hivi hujui kazi ya mwanaume ni kula? WW ukijweka vibaya hata kama una sura mbaya unaliwa. Na kuliwa sio kupendwa ati. wanaliwa weeeengi anapendwa mmoja. Just FYI.

nikweli kaka kama umekaa kiasala wabongo noma?
 
Back
Top Bottom