wanaume sometimez mnaboa nyie !!!!mkoje lakini teh teh

mimi sidhani kama kuna tatizo, je kama ana wake wawili kwa wale waislam amtambulishe hawara wakati ni mke wake?


Hata kwa waislam, mke ni tofauti na hawara ndugu.
Hawara ni mwanamke wa pembeni ambaye hajaolewa na mhusika.Yaani hakuna Nikah
 

...kwani "shemeji yenu" maana yake nini?
si linatokana na kuwa na mahusiano ya kimapenzi, au?...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…