Wanaume suruali!

kW BAHATI MBAYA SANA NI WENGI WENYE TABIA KAMA HIZI..TATIZO NI KUPENDA SIFA... UJINGA MTUPU...HEBU ACHENI HIZO
 
dah! JF bana! yaani mnaishi uswahilini halaf mnataka mkutane na wanaume faifu star? solution ya hii sredi ni fupi sana. "ondokeni uswahilini"
sredi klosed

...bro, hii haina Uswahilini wala Uzunguni,... baadhi ya wazungu nao wanazo sana hizo "kiss and tell!"
 

humu lizzy hawakosekani.
Waache kabisa hayo mamboo yao.
 
Lizzy umesema kweli tupu hawa watu wapo sasa kama na humu JF wamo msg send, na walioko outside JF watumiwe ujumbe. Uanamume wa hivi hauonyeshi urijali kabisa bali ni ujangili wa mida ya watu..:bored:
 
Aisee usiniache kuna jamaa yangu alipigwa marufuku na wife wake kwenda huko Club Continental jamaa akimwambia basi twende wote na yenyewe hataki ahaaa ahaaaa ahaaaa

Hapo jamaa ako mwambie awe anaaga kuwa anaenda Lango la Jiji kwenye mduara.
 
bora umewaambia maana wanabore kwakweli,unajikuta umepangiwa list ya watu hata wengine huwafahamu sijui huwa wanafikiria nini wanaudhi sana sana tena sana Lizzy.
 
wavalishwe khanga hao hawafai kabisa, utakuta dume zima limewakalisha wenzie kitako linaongea upuuzi wa aina hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…