Wanaume suruali!

Wanaume suruali!

Alafu wengine hata hamchangii mnachakachua tu???
Ngoja niwaanzishie thread na nyie!:bored:
Lizzy aisee nakupa offer kesho twende usiku wa khanga moja pale Club Continental
 
Kwahiyo wapi huwa hamna wanaume suruali? na wanawake ndevu?

Silver?
Club Continental?
Villa Park?
Muleba (my favourite!)?

Kyabushaija; Bomoa bomoa imeharibu mkuu, Lakini bado masai amekomaa teh teh teh...
 
Pole sana dada Lizy, kiukweli inauma sana lakini nataka nikwambie kitu kimoja jaribu kufahamu mtu unayetaka kuwa naye rafiki ana character gani? Hakikisha unamjua vinginevyo wapo wanaume wenye tabia hiyo. Vile vile chunguza watu wanaotaka kuwa karibu nawe, wanataka kwa sababu gani? Ni bora ukaonekana mbaya, unaringa lakini umeji defense.
Sifa za wanaume wa aina hiyo ni waoga, wasiojiamini na mwisho wasiojua kukabiliana na majibu endapo wamejaribu. Huona aibu kukataliwa wakati kukubali nako uamuzi wa mtu, hivyo huishia kupakaza mbovu.
 
Lizzy,

Hivi wewe umefahamu vipi au una uhakika gani kwamba Mr.X and Mr. Y ndiyo wansambaza haya maneno:-

"..fulani niko nae.."
".. fulani nimetembea nae.."
"..fulani namjua sana kafanya hili na lile.."??????

Kwa taarifa yako tu.. Kama umeambiwa na Mwanaume mwingine (Mr. Z) ku Mr. X or Mr Y anakusema hivi na hivi, fahamu fika kuwa huyo Mr. Z anatumia hiyo kama "gear" ya kukutongoza au kama umeambiwa na Mwanamke (Ms A) fahamu fika kuwa anataka "kukuzibia riziki"!

It is very SAD kwamba Msichana anapokuwa kwenye urafiki wa "kawaida" na Mr.X or Y, Mr. Z na wengineo ambao walishawahi kukataliwa huwa wanajisikia vibaya to the extent ya kuanzisha propaganda kama hizo ulizoziandika, ili mradi tu waharibu regardless. Also kwa wanawake wengine ambao siyo "likeable" kama Ms A, huwa wanajisikia vibaya sana kuona Lizzy anakuwa na urafiki na wanaume regardless.

My Advice: Acha kusikiliza UMBEA wa mtaani, kwa maana hata Papa Paul II aliwahi kusema kuwa "Stupidity is also a gift of God, but one mustn't misuse it”

uko sawa mkuu yaonekana anahukumu upande mmoja,sijui kama kawauliza hao walengwa kujiridhisha na aliyoyasikia.
 
Mzee wa rula asante kwa ushauri mpendwa!Kawaida yangu ni mkimya..au kama wanavyosemaga watu naringa!Sasa nao kuwachekea kuna madhara zaidi kwahiyo narudi nilipotoka...ntaringa mpaka wanishangae!
 
Mzee wa rula asante kwa ushauri mpendwa!Kawaida yangu ni mkimya..au kama wanavyosemaga watu naringa!Sasa nao kuwachekea kuna madhara zaidi kwahiyo narudi nilipotoka...ntaringa mpaka wanishangae!

Bora uringe mwaya maana hakuna jema.
 
Lizzy consider yourself lucky at least unapakaziwa,kuna wana wa adamu hapa duniani hata bahati ya kupakaziwa hawaipati-just for a second put yourself in their shoes and thank god
 
wasameheni watoto wa wenzenu jamani lol....ni utoto tu na wakikua wataacha
 
Lizzy consider yourself lucky at least unapakaziwa,kuna wana wa adamu hapa duniani hata bahati ya kupakaziwa hawaipati-just for a second put yourself in their shoes and thank god
Hahahahaha!SoA kumbe kupakaziwa nako ni bahati ehh?Ngoja nijione mwenye bahati basi!
 
wasameheni watoto wa wenzenu jamani lol....ni utoto tu na wakikua wataacha
Carmel miaka yote hiyo hawajukua ndo waanze leo?Walikua wapi wakati sisi wadogo zao tunakua ?
 
Back
Top Bottom