Wanaume suruali!

Wanaume suruali!

Kumbe pochi ndo kiwango!

Mi nimemjibu yeye kuendana na matakwa yake.
Kiwango changu siwezi kukiweka hadharani ili siku nikatafuta mchumba humu visharobaro visiniletee usanii!
 
Nimegundua Lizzy anapenda kucheza kiduku na makhirikiri angalia utakomaa visigino hivyo ukawa unachana shuka za husband


Ahhh wewe.....kiduku cha watoto wa uswahilini!!!
Alafu kisigino kilishakomaa enzi zile naenda shamba mara saba kwa wiki!!!
 
Lizzy wewe nakuzimia sana kwa mapoints na busara,lakini fidel80 ni comedian wa atari, mimi binafsi namkubali uyu dogo lazima ge...........


Nakuja nikulike alafu nikimaliza ntakuthank....endelea na Fide mwana TTC!
 
Mi nashindwa kuchangia hii sredi....

Eti ni yupi afadhali:

Mwanaume suruali au Mwanaume sketi?
 
Mwanaume pochi ndo la heshima!!!
Eti Lizzy... hivi mzee wa busara ni mwanaume gani??

halafu kumbe wewe unapenda mwanaume pochi... dah, safari ya kumkomboa mwanamke hata kuanza bado kama ni hivi
 
Mi nimemjibu yeye kuendana na matakwa yake.
Kiwango changu siwezi kukiweka hadharani ili siku nikatafuta mchumba humu visharobaro visiniletee usanii!

Hiyo siku inaweza isifike maana wakati unatafuta humu, inawezekana we pia unatafutwa humu na kwingine. So kabla hujapata, unaweza kuwa umeshapatikana...
 
Mhhh kinywaji gani hicho???Huku kwetu tumezoea mbege na gongo!!


Mhhh imetulia!!


Hehehe....unalo wewe!!
Ngoja nikamchambue mshkaji sasa!!!Nikirudi zamu yako!

hehehe mwalim wangu wa jiografia aliniambia mwanamke akisema zamu yako basi kaa mkao wa kula, kuna neema inakuja. tusemeni amen.
 
Mi nashindwa kuchangia hii sredi....

Eti ni yupi afadhali:

Mwanaume suruali au Mwanaume sketi?
Afazali mwanaume pochi kama Lizy alivyosema haijalishi anavaa suruali au sketi!!
 
Kaka yaani nimcheka mpaka basi, na uzuri leo mkoloni hayupo azawaiz:love::love:

Tatizo unacheka afu unasahau kale kakitu ketu....mwone kwanza.

Lizzy ananichanganya bana, sijui anataka tuvae sketi tuitwe mashoga? Mi ntabakia dume suruwale, bila kujali chochote ili mradi baioloji yangu inafanya kazi.
 
hehehe mwalim wangu wa jiografia aliniambia mwanamke akisema zamu yako basi kaa mkao wa kula, kuna neema inakuja. tusemeni amen.


duh, na hapo ndo unaitwa klorokwini,
kama ungeitwa kwinini sijui ingekuwaje tu?
 
Tatizo unacheka afu unasahau kale kakitu ketu....mwone kwanza.

Lizzy ananichanganya bana, sijui anataka tuvae sketi tuitwe mashoga? Mi ntabakia dume suruwale, bila kujali chochote ili mradi baioloji yangu inafanya kazi.

Kaka I did ze nidiful.

Tatizo lenu acheni kujisifia sana kwani mkikaa kimya mtapungukiwa nini??

Hajapewa anatangaza je akipewa itakuwaje?? anaweza akaenda BANGO TBC1 haifai.
 
Fidel unajua alhamisi ni public holiday kwahiyo pale Tip Top panahusika sana kwenye mjengo watu wanaanza na supu ya mtetea
 
...duh, LIZZY pole bana. Huenda jamaa kanogewa halafu alikuwa hajiamini aweza kupata mrembo kama wewe. Mvumilie bana, akishakuoa ataacha.
 
Pole Lizzy!
Nadhani hii ni kukosa kazi, uvivu na kutokuwa na chakufanya. hivi mwanaume unakosa cha kufanya au story ya kukoleza kijiwe mpaka ufikie hapo? Ongelea soka basi! kama huzijui Arsenal na manchester hata yanga na simba au manyema fc, kuna vitu vingi vya kuongea siasa, dini, maisha kwa ujumla, magonjwa, nk nk. Ushauri wangu; hao sio wanaume suruali wanunulieni sketi.
 
The Finest; Savanah, lunch time au ???? Nibonyeze ni dandie msafara
Ahaaa ahaaa Elia taarifa zako za ki-interijensia nimezikubali aisee inahusika sana popote muhimu mawasiliano mkuu
 
Back
Top Bottom