Wanaume suruali!

Wanaume suruali!

sorry lizzy

bacha unapoteaga sana dont u knw i .........


lol....marytina, naogopa kuitwa mwanaume suruali,
BTW: natafakari sijui siku nikiitwa mwanaume ''boxer''
sijui itakuwaje tu?
Lizzy naomba unisaidie hapo!!!!
 
Embu nendeni PM!
Alafu hiyo TTC unavyoirusha utakuta we mgawa maji tu hapo!😛anda:

Hata wewe karibu nitafrahi sana angalau tupate supu ya pweza na ngisi pamoja mm sio kamah uyo mwanaume maneno.
 
lol....marytina, naogopa kuitwa mwanaume suruali,
BTW: natafakari sijui siku nikiitwa mwanaume ''boxer''
sijui itakuwaje tu?
Lizzy naomba unisaidie hapo!!!!

Mwanaume pochi ndo la heshima!!!
 
Lizzy aje Tip Top Connection apige vinywaji vya kwenye chupa kubwa kubwa uzuri wa TTC hatuchezi kiduku
mwoga mwoga huyu, sjui kama atakuja. anaenda kutafta wazembe halaf wanampakazia wakati wazoefu wapo TTC.
 
Mwanaume pochi ndo la heshima!!!


Asante Lizzy kwa kunirahisishia kazi,
nilikuwa najaribu kutafakari wazo lako hapa,
sasa nimekupata!!!!!!!!!!!!
stay blessed!!!!!!!
 
Lizzy aje Tip Top Connection apige vinywaji vya kwenye chupa kubwa kubwa uzuri wa TTC hatuchezi kiduku
Mhhh kinywaji gani hicho???Huku kwetu tumezoea mbege na gongo!!

Mhhh imetulia!!

mwoga mwoga huyu, sjui kama atakuja. anaenda kutafta wazembe halaf wanampakazia wakati wazoefu wapo TTC.
Hehehe....unalo wewe!!
Ngoja nikamchambue mshkaji sasa!!!Nikirudi zamu yako!
 
mwoga mwoga huyu, sjui kama atakuja. anaenda kutafta wazembe halaf wanampakazia wakati wazoefu wapo TTC.

Nimegundua Lizzy anapenda kucheza kiduku na makhirikiri angalia utakomaa visigino hivyo ukawa unachana shuka za husband
 
Embu nendeni PM!
Alafu hiyo TTC unavyoirusha utakuta we mgawa maji tu hapo!😛anda:

Lizzy wewe nakuzimia sana kwa mapoints na busara,lakini fidel80 ni comedian wa atari, mimi binafsi namkubali uyu dogo lazima ge...........
 
Back
Top Bottom