Wanaume tuache kutembea na mabinti wadogo, hasara ni nyingi kuliko faida

Wanaume tuache kutembea na mabinti wadogo, hasara ni nyingi kuliko faida

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Wakuu

Ni sawa kwamba wewe ni rijali, kwamba nyoka hachagui shimo. Kwamba ukiona chaka, mavi yanabana. Kwamba una pesa hakuna mbususu itakayokushinda. Lakini watu wazima kutembea na mabinti wadogo ni risk nyingi na laana, Plus kujivunjia heshima
Hasara ni nyingi tuone..

1: Utageuzwa kitega uchumi ama mpesa.
Vibinti vingi hasa vya shule na chuo, huwa vina mambo mengi, utasikia "nitumie 30 nikatoe copy ya notes, ama simu yangu ipo kwa fundi amesema ni 50k." "mtungi umeisha gesi" " Ukiwa na mdada mtu mzima hafanyi hivi, kwanza anaona aibu kusema haya, atakuomba hela kwa njia nyingine.

2: Heshima inashuka..
Pili ni heshima yako inashuka baada ya kumnyandua binti huyo, kwani anakuona kama kijana mwenzake. Imagine binti wa 23 yrs anamwambia mzee wa miaka 70 assume ni baba yako. "hujakua wewe nakuacha" hapo mzee wa watu anapiga goti kisa tu mnato binti.. Na ukute mzee wa watu ndo una kibamia ndio utajuta yaani. Tutulie na wake zetu wakuu ama kunywa k vant aka kifutio kama una stress..

3: Kifo nje nje...
Pia kifo kinakuwa nje nje yaani, Izraili anakuwa kashashika kalamu anasubiri tu kupiga sign urudishe namba.. Vitoto hivi huwa vina style za laana wakati wa kufiringana. Mara "idondokee" mzee wa watu hujakaa vizuri mara kamekupa "nimekususia yote" kanakuja kukumalizia na sijui "covid 19" Nini hapo kama si mzee wetu uteme nyongo na maini? Tabu yote ya nini mzee mwenzangu? Mkeo anakupa kistaarabu kabisa wala hazijui hizo "doggy style"..punguza usije dedi ujaacha urithi..

Mwisho wazee achieni mabinti vijana waoe. Ndio maana Extrovert hataki kuoa.
 
Mie napendaga mabinti wadogo sababu sehem zao zinakuaga tight. Haijatumika sana. Unafurahia kishenzi.

"Aaaah, aaahh taratiiiib Mlolongo!
Shhh... Ooh, mmmmh..."

Basi mie hapo nazidi kupata munkari wa kupiga pump.

Vizinga vyao ni affordable, I can manage.
 
1: utageuzwa kitega uchumi ama mpesa.
Vibinti vingi hasa vya shule na chuo, huwa vina mambo mengi, utaskia "nitumie 30 nikatoe copy ya notes, ama simu yangu ipo kwa fundi amesema ni 50k."
"mtungi umeisha gesi" "
Ukiwa na mdada mtu mzima hafanyi hivi, kwanza anaona aibu kusema haya, atakuomba hela kwa njia nyingine..

Sasa we 30k ya kutoa photocopy na 50k ya simu ndio inakutisha? We inaelekea huwajui wanawake vizuri.

Mabinti wadogo ni kweli wana vizinga, ila vizinga vyao haviumizi. Binti wa chuo mpaka akupige kizinga cha laki ni nadra sana na manake awe amejipanga na maelezo yaliyonyooka, na hiyo labda ni mara moja kwa miezi.

Sasa njoo kwa hao unaowaita watu wazima. Mzinga wake unaanzia laki 6 ya kodi ya nyumba, mara niongezee ada ya mtoto nimepungukiwa (900k), niongezee mtaji umeyumba (3m), namalizia kupaua kakibanda kangu (2.5m) mara ist imeua gia box (800k) weee bana wee..!

Watoto wa chuo ni very cheap nakuambia 😆
 
Sasa we 30k ya kutoa photocopy na 50k ya simu ndio inakutisha? We inaelekea huwajui wanawake vizuri.

Mabinti wadogo ni kweli wana vizinga, ila vizinga vyao haviumizi. Binti wa chuo mpaka akupige kizinga cha laki ni nadra sana na manake awe amejipanga na maelezo yaliyonyooka, na hiyo labda ni mara moja kwa miezi.

Sasa njoo kwa hao unaowaita watu wazima. Mzinga wake unaanzia laki 6 ya kodi ya nyumba, mara niongezee ada ya mtoto nimepungukiwa (900k), niongezee mtaji umeyumba (3m), namalizia kupaua kakibanda kangu (2.5m) mara ist imeua gia box (800k) weee bana wee..!

Watoto wa chuo ni very cheap nakuambia 😆
Hahahhaha wazee mnajua na gharama halisi kabisa mko njema! Kwahiyo kumbe maintenance cost za kabinti ka chuo ni nafuu kuliko wale wapigania uhuru! 😅😅😅
 
Umenikumbusha last week kuna demu wangu wa zamani (mke wa mtu sasa hivi) alikuja getto kwangu akalala. Nikajitutumua nikamgonga bao za nguvu mbili.

Aisee ile nimemaliza niko hoiii demu ananiambia "Mlolongo njoo tuendelee yani hapa ndio kama umeniamsha ashki vile..." Kwakweli nilishindwa kuendelea na game, demu alimaindi sana.

Nikagundua inawezekana mume wake, au majamaa yanayomkaza huwa yanampelekea moto kweli kweli.

Zamani hakuaga hivi. Nilikua nikimpiga hata kimoja tu anaomba apumzike.

Sasa hivi namkwepa. Simtaki. Bora nikomae na vidogo dogo ambavo havijatumika sana.
 
wakuu
Ni sawa kwamba wewe ni rijali, kwamba nyoka hachagui shimo,
Kwamba ukiona chaka, mavi yanabana.
Kwamba una pesa hakuna mbususu itakayokushinda..
Kwa sasa huku field ukiona watoto wadogo wnavyonyanduliwa na wazee utasema bora tu nisioe. Anasa kwa wanawake zimepita kipimo. Yuko tayari ana miaka 22 anatembea na Mzee mstafu amejaa mvi kwenye mapufumbu na mikunjo lakini anakaza mradi apewe pesa ya chips na vocha. Wakirudi kwetu vinalalamika sana eti sisi wabahili.
 
Back
Top Bottom