Wanaume tuache kutembea na mabinti wadogo, hasara ni nyingi kuliko faida

Inaonekana wazee wako njema sana! mbona hawaachwi???! tena wanaitwa Baby! ukuje huku Nna hamuuu! ......na Bungeni huko vinajaa vibinti tupu! tena virembooo! mie nadhani .........msivilaumu hivi vibinti vina kismati mnoo! ambacho hakijachafuliwa saaana!

Ukitembea na kibinti lazima upaue!! uongezewe mda wa kukaa Bungeni! ni hivi siku ya kuomba kura lala nako halafu ukiamka tu nenda kapige kampeni ivo ivo na janaba uone........ hata Biashara ivoivo! utakaa bungeni mpaka ulie pooo,,,,,
 
Still bado sijaona point ya maana..

Kibinti cha chuo kikiomba 50 ya copy
Ni Sawa na mdada anaeomba Kodi ya miezi 6?
Au Ada ya mwanae?..

Labda useme Tu tutulie na wake zetu basi..
Hawa wadada hua wanaomba pesa ndefu sana! Vitoto viko affordable,sema vina ujinga mwingi,upo zako na wana mnapanga mikakati ya kupata pesa,kenyeewe kapo busy na sms uko wapi,umekula nini,unafanya nini,umevaaje Leo! Kakija sehemu ulipo na masela,kanakurukia kiss zakutosha hadi unaona aibu! Unaweza liwa romance mbele ya boss wako!
 
Kawaida ukifocus zoezi balance diet unakuwa vzur kulko hata ambao hawajazaa yan unakuwa na muonekano bomba and attractive unatongozwa mpaka na wavulana, shida wale waloajiachi!
 
Mleta mada atakuwa Mzee!! yeye alisha tumika huko weeeee!! na wazee wa zamani sasa leo anaonea wivu Mabinti zake! ndo mambo yalivyo! Mabinti ni mali ya wazee! vijana wezao bado wanasoma,

Kwanzavijana wenzao hawana hela, miili wanawazidi, pili vijana wakiume nyegede zao hazija komaa! tatu bado wako kwa wazazi wanachungwa ili wasome!! atapata wapi mda wa kumnyandua Binti mkolezo!

Mbali na hela chumba chenyewe hana!, anategemea kuvizia pori, anaishi gheto moja na wadogoze! hela hana, songi hawezi, muda hana!! ndo kwaanza akafagie banda la kuku wkt demu anataka mtoko!

Wazazi wako juu yake mimacho kodooo! akifanya chochote dingi kajua!! uone km utapata karo ya kutosha! lkn Binti anatumiwa Prado faster akiwa bado anafunga shule! na mpunga wakutosha! anasubilia miti Guest bei mbaya!

Hawa vijana me' ndo madingi wa kesho kuwanyandua vidada vya kesho wao wasubiri zamu zao bado! wasome kwanza! kwa hiyo wazeee wako mida sahihi ya kuwanyandua tena wachapeni kabisa ile ya kunyanyukia!! binti huyo! huyo!! rafiki zake wana nyanduliwa na mdingi wake! utasikia ''Babako? mna raha sana! ana roho nzuri jamani! hee!'' vikimtembelea rafiki yao utasikia ''shikamoo baba...
 
Vibinti vidogo vinafinya vizuri na mizinga yao ni affordable....ila hawa wakina dada/mama mizinga yao utajuta......
Still bado sijaona point ya maana..

Kibinti cha chuo kikiomba 50 ya copy
Ni Sawa na mdada anaeomba Kodi ya miezi 6?
Au Ada ya mwanae?..

Labda usem

e Tu tutulie na wake zetu basi..
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We jamaa 'mjinga' sana yaani sidhani kama ntakuja kucheka kuliko leo...
Eti wapigania uhuru!!.
Ukiangalia kweli kiundani wanapigania uhuru! waana taka dushelele kwa mbinde!! hawa wanaringi tena! kaumri kakiwa kadogo, wanaringa sana!! lkn wakikuwa wanaipigania kweli na kwa mbinde hawapati, wakati vibinti vinashika hatamu.......
 
Kalete ofisini kwangu kauze dawa usijali kata fundishwa na wenzake ila wewe njoo tu wkt wowote ukae nacho!
 
Covid 19 ndiyo staili ikoje hiyo?
 
Kawaida ukifocus zoezi balance diet unakuwa vzur kulko hata ambao hawajazaa yan unakuwa na muonekano bomba and attractive unatongozwa mpaka na wavulana, shida wale waloajiachi!
Hilo la mazoezi na diet ni kweli ila wanawake wakiolewaga wanakuwa rafu hawajipendi na huwa wameridhika na ndoa basi so hata u smart huisha na kubaki kuvaa madera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…