Wanaume tuache kutembea na mabinti wadogo, hasara ni nyingi kuliko faida

Wembe ni ule ule wazee kazeni kamba!!! Ole wako kijana uoe kabinti watakachukua viwanja vya Bungeni! kujitundika kuna kuhusu!! utabaki unalia unapishana nae akiwa kwa ndinga kali, sasa weye braza kaka utamuonaje na wewe uko kwa daladala mme banana?!
 
Sasa hivi kila mwanamke anauza, wasiookewa,walioolewa,washule nk
Shauri watu waache ngono.
Au kwa Dada poa, mnamaliza kabisa,hakunywi bia,hakuli nyama choma,hulipi usafiri,hakuna kodi ya chumba,bili ya maji,umeme.
Hakuna bandle limeisha,hakuna nataka kwenda kuosha nywele,kucha.

Naomba hela ya ped.
Kama bao moja 5000,bao zako2 mnamalizana kila mtu anatembea cha msingi kujinda kwa kutumia king a zenye kiwango.

Mara2 kwa mwezi utakuwa umelinda uchumi, afya ya mwili na akili NO STRESS.

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Aisee acheni utani NYIEEE, nipo nakula cha 2004 japo kana uzoefu ila kitu mnato balaa…. halafu kana mizuka kila wakati kanataka.

Hivi vibinti ni vitamu, havina mambo mengi wala gharama…. havijaanza kuwaza maisha na hisia za ngono ziko juu.

Tusaidiane kuvipelekea moto.
 
Wakuu natumaini ni wazima. Kuna mtu kanikumbusha huu uzi nikasema niwape mrejesho.

Haka kamchepuko bana bado niko nako mpaka leo! Mungu katubariki kwa sasa tuna katoto ka kiume kana miezi 3 sasa. Tangu kajifungue hatujakutana nimekamiss balaa.. Ila tumepanga wiki ijayo panapo majaaliwa katoroke tuonane maana bado kapo kwao. Ntaendelea kuwapa updates tuzidi kuombeana ya Mungu mengi.

cariha Extrovert Mlolongo financial services Abrianna logframe rikiboy
 
Hapa nimepanda basi Mza to xx nimekaa na kabinti kakari balaaa macho yananiita ' njoo! njoo!' alafu konda kanikabidhi nikachunge huu mtihani sana jamani kanashuka km 69 nyuma ya ninapoenda alafu kageni au nikapeleke ghetto kesho nikapandushe motokaa?, sala zenu wakuu shetani ana mambo.
 
🤣🤣🤣🤣🤣dah
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndio umetuchamba hivyo wahenga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…