Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Natumaini mmeshasalimiwa sana tangu asubuhi hadi mmechoka.
Ok mchongo wa leo ni kuhusu Usafi au umaridadi au utanashati.
Wakulungwa tujipende wazee,
kuwa msafi haimaanishi unapoteza "uanaume" wako,
Usafi haujalishi unavaa nguo za pesa ngapi wala mambo ya marashi marashi bali wakati wote zingatia usafi wa kinywa, mwili na mengineyo.
Kuwa 'broke' haimaanishi kuishi katika uchafu, Au sio masela?
Wahenga wanasema umaridadi uficha umaskini Peace and love , tuwe wasafi bwana.
Ok mchongo wa leo ni kuhusu Usafi au umaridadi au utanashati.
Wakulungwa tujipende wazee,
kuwa msafi haimaanishi unapoteza "uanaume" wako,
Usafi haujalishi unavaa nguo za pesa ngapi wala mambo ya marashi marashi bali wakati wote zingatia usafi wa kinywa, mwili na mengineyo.
Kuwa 'broke' haimaanishi kuishi katika uchafu, Au sio masela?
Wahenga wanasema umaridadi uficha umaskini Peace and love , tuwe wasafi bwana.