hivi na wewe ni nyumba ndogo wa desh deshi eeh?Umeona eeh?..
Kama ni hivyo basi muhakikishe na mradi wa kuku nyumbani haufi.taratibu basi SL ,sisi ni viumbe dhaifu kwenye masuala yanayogusa moyo.
Hapo kwenye red:Bishanga abbashaija!Kweli ndugu yako hana maana.Na hao wadada wanaopenda vitu vikubwa ni hatari hakimaliza tu kununua hivyo vitu na penzi ndo kwisha kabisa.
Hili ndo la muhimu kwenye hii sredi.Kama ni hivyo basi muhakikishe na mradi wa kuku nyumbani haufi.
heheh mwalim, nimetoa mfano wa bei rahisi ili kila mtanzania aweze kumiliki.
Nadhani sasa utagundua kwamba mimi nafaa kuwa Rais wa Tanzania.
Bek to ze topik: Huyu ndugu yake Bishanga anahitaji calculator katika shughuli zake za kuhonga. Khaaa! nimejarib kutumia kichwa kitupu kujumlisha hayo mahela hakyaPAW nimeshindwa
Ingekuwa mie ndio huyo maza hous, wala nicngetoa povu la hasira, ningechat na huyo kimada na kupanga na huyo wapi tuonane kesho yake ili achukue pesa, atajua anawasiliana na malaya mwenzie na atakuja, nitacopi namba zote za jamaa kwenye line yangu icpokuwa ya huyo malaya wake na kuiweka kwenye simu yake na mie nachukua line yake najua itachukua mda kugundua na atakuwa kazini na mie namfata huyo bidada c unajua mwizi akikamatwa lzm afate mashart kwa style yangu lzm atanipa ushirikiano na tutamweka kati huyo bwana, na kumwita aje na kujibu tuhuma tena mbele ya mashahidi wa ukweli,naamini itakuwa mwanzo na mwisho wa umalaya wao na atajua umuhimu wa mkewe na wanae, ni mawazo yangu tu.
Hahahaha! Naogopa dhambi jamani..lol watoto wale dagaa afu mimi ninunuliwe draya?..khaaa sio laana ni nini husni? Jiulize hv je kama ndo mimi watoto wangu wanakula dagaa ntafurahi? Hizi nyumba ndogo hizi, zipo kwaajili ya raha tu, nyumba kubwa ndo za kuvumilia shida! Mume akisema wife nimeishiwa mwezi huu itabidi unihelp kulipa skuli bus, tunaitika sawa mume wangu, kumbe mwenzio hajaishiwa wala nini, hela zipo ila hazitoshi kugawana na hawara..hivi na wewe ni nyumba ndogo wa desh deshi eeh?
Hahahaha! Naogopa dhambi jamani..lol watoto wale dagaa afu mimi ninunuliwe draya?..khaaa sio laana ni nini husni? Jiulize hv je kama ndo mimi watoto wangu wanakula dagaa ntafurahi? Hizi nyumba ndogo hizi, zipo kwaajili ya raha tu, nyumba kubwa ndo za kuvumilia shida! Mume akisema wife nimeishiwa mwezi huu itabidi unihelp kulipa skuli bus, tunaitika sawa mume wangu, kumbe mwenzio hajaishiwa wala nini, hela zipo ila hazitoshi kugawana na hawara..
Haya nambie sangapi nije kuchukua hela ya viti na draya?.. Usisahau pia ulisema utaninunulia na mawigi ya kuanzia..Hili ndo la muhimu kwenye hii sredi.
Toka nijiunge jf leo ndo nimeona umechangia kwa moyo wako wote tena ukimaanisha.. Utanidai thanks yako 1 kwa hii useful comment yako, siku mods wakirudisha thanks nitakugongea!ni dhambi sana kutesa watoto wa mwenzio na mwanamke mwenzio kwasababu ya maslahi binafsi.
Wanaume acheni kutafta mahawara.
Kufa wala hatakufa ila cha moto atakiona na atajua hata mkewe sometime ni mafia kuliko yy na mwisho wa siku heshima itarudi.hii ni hatari jamaa anaweza kudondoka afe.
Toka nijiunge jf leo ndo nimeona umechangia kwa moyo wako wote tena ukimaanisha..
Kweli kabisa!Kufa wala hatakufa ila cha moto atakiona na atajua hata mkewe sometime ni mafia kuliko yy na mwisho wa siku heshima itarudi.