Wanaume tulioko mjini mpaka leo...

mbisom ramos

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2011
Posts
811
Reaction score
396
Habari wanabodi...
Kwenye kumbukumbu mzee wa kaya alisema ikifika tarehe 1/07/2017 kama bado uko mjini wewe ni mwanaume... Hebu tag wanaume wote tulioko mjini mpka leo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Habari wanabodi...
Kwenye kumbukumbu mzee wa kaya alisema ikifika tarehe 1/07/2017 kama bado uko mjini wewe ni mwanaume... Hebu tag wanaume wote tulioko mjini mpka leo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Alikua na mihemko wakati anaongea
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]
 
Nipo bar Mbezi beach kila mtu anasema shikamoo mkulu. Alikua kweli hakuna mtoa ofa. Hahahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…