Wanaume tuliowahi kupigwa na wanawake tukutane hapa

A see mimi mama angu alikuwaga ananitembezea kichapo ile mbaya
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Comments mie hoi
 
Inaonyesha yeye alikuwa anakupenda kwa dhati ila wewe Ulikuwa unataka tu kusuza rungu
 
Khaaa mkuu nikahisi ulichezea hadi kulia au kukimbia kumbe hivo!!!
 
Wanawake mnaopiga wanaume niwaambie tu majamaa wanawaachia sababu wanawapenda wengine hawawezi piga mwanamke tu vichwa vyenu visijae mkajiona wababe mkataka kurusha ngumi kwa mwanaume yeyote mtaani yaani mtatenguliwa uzazi [emoji3]
 
Mimi mwanamke anipige che che che Mayo hapana ntaletea kesi nyingine
 
kuna wakati nilikua nimepanga uswazi.. . Sasa next door/mlango wangu ulikua umefatana na mlango wa jirani/familia moja ya wachaga mke(Mmachame na alikua baunsa kwa muonekano) na mume na watoto wao wawili wote wanalala chumba kimoja.
Yule baba alikua akirudi amelewa anataka mchezo/sex kwa lazima kwa mkewe bila kujali mazingira/ watoto wamelala au lah! Siku iyo karudi anafosi kupata mbunye acha ale makofi tunasikia pah pah hatukujua nani anaepigwa sasa kale katoto ka mwisho kakiume ndo kakaanza kumsanifu baba akee. " eheeeeeee, huyoooooo baba anapigwa huyooooo" anamzomea dingi.
ndo majiran tukapata picha kamili.
 
Mimi napenda mwanamke mbabe afu awe anasauti ya bezi au kukwaruza.. Napenda mno! Kama Scarlett Johansson
Kule kwenye uzi wa kula tunda kimasikhara huyu unayemsema upo ushuhuda wake baharia wa singida huko alituwakilisha vizur.
 
Mimi mwezi wa 9 mwaka huu, tulikua tuna ugomvi na demu wangu (chanzo kidogo tu ila kika escalate quickly), ni mixer ya Mjita na Mjaruo, aisee, nikajitia najua kurusha ngumi kwamba nimechukia.

Yule demu ana nguvu aisee, alinipiga na kisu akanishikia, alinikaba nikawa sipumui, alinipiga mangumi ya kichwani nilipoteza network kama dakika 10 nimelala chini.

Mambo yalipokuja kusettle namuheshimu sana. Kumbe uwa anadeka ila ananiweza kunipa kipigo vizuri tu.
 
Hahahahahahaha nimekubali kuolewa na wewe bila kipingamizi chochote na mahari yangu ni msaafu, karibu.
Daaah ewaa asee zile mbinu za kula tunda kimasihara nimeanza kuona matunda yake sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…