Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
I see!
Hongera
Hongera
Wale tuliowaachia alama tunacomment wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale tuliowaachia alama tunacomment wapi
I see!
Hongera
Nadhani ni udhaifu kumpiga unayeweza kumpiga.
Kwanini mkuu...tumekukoseeni nini sie?Nyie ni kutembezewa mabanzi tu..mna ujinga sana wanaume sometimes ...
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimecheka kama mazuri.
Na wewe utapiga mwanaume eti?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie ni kutembezewa mabanzi tu..mna ujinga sana wanaume sometimes ...
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bado uko nae mkuu?Mimi mwezi wa 9 mwaka huu, tulikua tuna ugomvi na demu wangu (chanzo kidogo tu ila kika escalate quickly), ni mixer ya Mjita na Mjaruo, aisee, nikajitia najua kurusha ngumi kwamba nimechukia.
Yule demu ana nguvu aisee, alinipiga na kisu akanishikia, alinikaba nikawa sipumui, alinipiga mangumi ya kichwani nilipoteza network kama dakika 10 nimelala chini.
Mambo yalipokuja kusettle namuheshimu sana. Kumbe uwa anadeka ila ananiweza kunipa kipigo vizuri tu.
Mkuu huyu mwanamke bado uko nae?Kuna watu wana hasira. Kwanza nyumba mzima ilikua imejaa vioo. Maana alivunja glass zote, vyombo vyote, majagi, alinionea huruma TV tu ila vingine vya kupasuka vyote vilikua chini.
Yaani ningekua na CCTV mule ndani ingekua kichekesho kila nikiangalia. Alitoka nje kufuata kisu me nikajifungia ndani, mlango una makomeo matatu nikafunga mawili, aisee aliingia na mlango.
Nilitia hurum ila nikala kipigo bado.
Baadae wanaongea na maza wake maza anamwambia kakupiga demu anasema ndio kanipiga wakati mimi ndio nimepigwa vibaya.
Maza akasema muendee polis ana mjomba wake ni polisi wakasema wanisetie mpango nilale ata wiki moja ndani, dah aisee nilikua natia huruma.
Sema akipoa hasira utakaa ukamdhania watu wanasemaga namuonea sio muongeaji ila uyu jamaa anamjua mimi tu
Ndo niko darasa la ngumi najinoa.Na wewe utapiga mwanaume eti?
Sasa wewe pombe imelegeza hadi nywele ni unakung'utwa tu.Hao wanaopigwa ni dhaifu embu jaribu kukutana na vichwa vibovu halafu jifanye unarusha ngumi
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mpigwe tu.
Sasa wewe pombe imelegeza hadi nywele ni unakung'utwa tu.
Ukipata Milf mnywa grants utakutan na hii. KituMimi napenda mwanamke mbabe afu awe anasauti ya bezi au kukwaruza.. Napenda mno! Kama Scarlett Johansson