Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Kuna wanawake wakorofi bhana. Tena ukorofi unawazidi pale wanapojua huyu hawezi kunipiga.
Na wanaume tunavyojua kutunza siri ukipigwa hupigi kelele majirani wasije wakaskia...unajikalia kimya yaishe kesho kupambazuke.
Nilishawahi kuwa na mwanamke nikawa nampuuza. Anapiga simu sipokei, ananiita sehemu namwambia nipe dakika tatu kisha sitokei. Sasa siku nikammiss nikamwita akaja siku hiyo akaja na pombe zake nadhani alinipania maana hanywagi...zilipokelea akaanza na tukofi twa mahaba nikajua anatania.
Eeeh bwana nikampuuzia akaja akanipa moja ilibaki kidogo nimuue ila hasira zikashuka fasta. Hakuacha akajua huyu hawezi kujibu. Na kiukweli siku hiyo sikujibu nikawa namzuia tu asinipige...ila alikuwa mkorofi...sijui kaacha tabia zake.
Wanaume tunachezea saana sema hatuyasemi nje.
Na wanaume tunavyojua kutunza siri ukipigwa hupigi kelele majirani wasije wakaskia...unajikalia kimya yaishe kesho kupambazuke.
Nilishawahi kuwa na mwanamke nikawa nampuuza. Anapiga simu sipokei, ananiita sehemu namwambia nipe dakika tatu kisha sitokei. Sasa siku nikammiss nikamwita akaja siku hiyo akaja na pombe zake nadhani alinipania maana hanywagi...zilipokelea akaanza na tukofi twa mahaba nikajua anatania.
Eeeh bwana nikampuuzia akaja akanipa moja ilibaki kidogo nimuue ila hasira zikashuka fasta. Hakuacha akajua huyu hawezi kujibu. Na kiukweli siku hiyo sikujibu nikawa namzuia tu asinipige...ila alikuwa mkorofi...sijui kaacha tabia zake.
Wanaume tunachezea saana sema hatuyasemi nje.