hebu assume wewe ndo ungekuwa faru jike... unakamatwa na unaambiwa leo tunakupeleka ukalale na faru john..ungekuwa unawazaje..? john hakuwa faru wa kisportsportWangemconfine, yaani kumfungia sehemu siku wakitaka mbegu zake analetewa demu. Any way RIP john
hicho ndicho kilichomponza...Mbona kingi mswati yuko hai mpaka leo?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ajali kazini tu hiyo... hata flu inauahicho ndicho kilichomponza...
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Mbona kingi mswati yuko hai mpaka leo?
i gueßs bettynimesikia baba yake alikuuwa anaitwa hamisi, jina la mama yake nimelisahau ila ni la kikristo.....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mzee wa kuoga maji ya moto asipate ukimwi[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Au Jacob Zuma
Huyu John upweke ndio utakuwa umechangia alizoea ugangwe mademu anachukua kwa nguvu wahifadhi nadhani wakaona akiendelea kukaa hapo hizo mbegu zake watazaliwa watoto wenye tabia zake mwisho ingekuwa like father like son pangekalika hapo kuna John kama 30 pangekuwaje?Mbona kingi mswati yuko hai mpaka leo?
huwaelewi akina nani?Yaaani mimi hata siwaelewi kabisa wakuu
HaaaaaaaaaaAlichukuliwa Tz ndo akapelekwa kutunzwa South Africa. Na alirudi ukubwani. Ndo akawa kiwembe
Baba yake Hamis alikufa 1992 na mama Betty wote wana passport za Tanzania..