KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Kwa iyo ni govi?Najua sana, ila nyie wengine tumieni tu na mkitaka nzuri niulizeni niwasaidie ushauri ila wa kwangu abaki tu kama Mungu alivyomuumba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa iyo ni govi?Najua sana, ila nyie wengine tumieni tu na mkitaka nzuri niulizeni niwasaidie ushauri ila wa kwangu abaki tu kama Mungu alivyomuumba.
Unafanyaje mkuu!Kuliko.kuhangaika na Mafuta Huwa nahangaika na matango,kitunguu swaumu,maji,matunda basi.
Sipaki Mafuta yeyote na Wala ngozi haijawahi pata shida yeyote sana sana Huwa wananiuliza natumia Mafuta gani nikiwaambia situmii hawaamini.
Msimu wa baridi ndio natumia Mafuta kidogo sema nimesahau jina 😁😁
Nakula tuu 🤣🤣Unafanyaje mkuu!
Jaman magovi yanapelekeaga motoo hadi unaomba poo jaman, nadhani ni sababu ya hilo govi sijui jaman, kama wale wamasai wanavyokunaga hadi raha na govi hivyo hivyo jaman, ndio maana nimegundua wazungu wengi hawatoi goviKwa iyo ni govi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umechachuka siku hiziMambo yoyo [emoji23]
Ndio nn[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umechachuka siku hizi
NIlivyoona neno smart nikaja mbio nikafikiri ni smart kichwani, kumbe ni masuala ya vipondozi.Kwa wale wanaume tunaopenda kuwa smart, nashauri tutumie hizi package zitakuweka smart sana bila kujali unafanya kazi gani na eneo gani.
Dove Gel Body Wash
View attachment 3207110
Hakikisha ni Secret, ujue pia kutofautisha fake na OG. Chupa ndogo inauzwa Sh.12,000 mpaka 15,000. Kubwa inauzwa Sh.20,000.
Jergens Utra Healing.
Haya mafuta ndio ninatumia mimi, nimeona matokeo mazuri sana. Usichukue Jergens yeyote tu bali chuku Utra Healing yenye Vitamin C, E na B5.
Bei yake sio kivile ni Sh.45,000 mpaka Sh.50,000
View attachment 3207079
Nivea Men Breathable
Haya mafuta ni ya ukweli sana wakuu, jaribu kuyatumia utayakubali
View attachment 3207094
Kwa body lotion napendekeza hayo mafuta
Dove Hand Cream
View attachment 3207100
Pamoja na kutumia body oil bado hutakiwi kukosa Hand Lotion kwa ajili ya kuiweka mikono yako vizuri. Hasa kwa wale wa maofisini usikose hii kitu kwenye kibeg au kwenye gari. Labda umefanya kazi ngumu ya kutumia mikono,au vyovyote vile umeona mikono yako haiko sawa, tumia hiyo hand lotion.
Kwa mimi napendekeza Dove hand cream. Inauzwa Sh.10,000 mpaka Sh.12,000
Simu yako ni infinix gani? Ukiichoka niuzie na mm jamani
Madaklo yako
Bila shaka utakuwa unaishi dar ungekuwa mkoani ungepauka kama kipande cha mhogo iliyokaushwaImara ya mwisho kupaka mafuta. Ilikuwa nikiwa primary school
.impressing women? Kwanza wanawake wengi wanatarajia kuwa wanaume hawako preoccupied na hizo beauty productsMwanaume kutumia hand cream huo ni umama..!
Wewe tena😄Sasa wote tukiwa na mikono laini kazi ngumu atafanya nani 😅😅😅
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Simu yako ni infinix gani? Ukiichoka niuzie na mm jamani
Madaku gaku wa mwene. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Madaklo yako
Endaaaaaaaa bhaMadaku gaku wa mwene. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Hili linaitwa futa la Aslay.futa la nazi juu ya ngozi,
Futa la kazi hilo ni wewe tu na matumiz yakoHili linaitwa futa la Aslay.
Vijana wa 2000 wanamisemo na majina tata Sana.