Wanaume tunaopenda kuwa smart tusikose package hii

Unafanyaje mkuu!
 
Kwa iyo ni govi?
Jaman magovi yanapelekeaga motoo hadi unaomba poo jaman, nadhani ni sababu ya hilo govi sijui jaman, kama wale wamasai wanavyokunaga hadi raha na govi hivyo hivyo jaman, ndio maana nimegundua wazungu wengi hawatoi govi
 
NIlivyoona neno smart nikaja mbio nikafikiri ni smart kichwani, kumbe ni masuala ya vipondozi.

Mimi sipo rafu lakini masuala ya vipodozi hapana. Nikiogea sabuni ya jamaa inatosha. Kutokana na joto la dar huwa situmii mafuta wala rosheni yoyote. Nina mafuta ya mgando geto yanamaliza karibu miaka miwili saiv chupa haijafika hata nusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…