Wanaume tunapitia mengi sana

Wanaume tunapitia mengi sana

Hizi zinakuaga mesej za sandakalawe hasa pale unapoboeka huna ishu yeyote unatuma tu hata kwa wadada 100 atakaejibu halali yako hizi meseji zinaacha kuja labda uamue ku block tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hizi zinakuaga mesej za sandakalawe hasa pale unapoboeka huna ishu yeyote unatuma tu hata kwa wadada 100 atakaejibu halali yako hizi meseji zinaacha kuja labda uamue ku block tu
Loooh nilkuwa sjui
 
Loooh nilkuwa sjui
Hehe we unajua jamaa kila siku anakufatilia wewe tu hapo mpo wengi ye anakula timing tu anajua kwa mwezi hawezi kosa hata mmoja atakae ingia mkenge hasa nyakati hizi za vyuma kukaza wadada hamtabiriki.........siku mmoja atakua na kashida au kazinguliwa huko na mtu wake ataona bora amuonee huruma jamaa kila siku anamsumbua si unajua tena wadada mnavopenda maujiko utajua jamaa kaoza kafa kwako😛😛
 
Hehe we unajua jamaa kila siku anakufatilia wewe tu hapo mpo wengi ye anakula timing tu anajua kwa mwezi hawezi kosa hata mmoja atakae ingia mkenge hasa nyakati hizi za vyuma kukaza wadada hamtabiriki.........siku mmoja atakua na kashida au kazinguliwa huko na mtu wake ataona bora amuonee huruma jamaa kila siku anamsumbua si unajua tena wadada mnavopenda maujiko utajua jamaa kaoza kafa kwako😛😛
Hahahahhaah na ukiingia kingi imekula kwako khaaaaaa unakula mashineee
 
Wanaume huwa tunateteana jaribu kumpigia jamaa kampeni[emoji23] [emoji23]
hahaha kumbe " nilisahau " tatizo kuna wengine wameshajichokea "" waweza kumpigia mtu kampeni akameza mi Erector 50 pills 4 ..mwisho wasiku ikamu over dose " nakujikuta anafia juu ya kiuno "....
 
Back
Top Bottom