Wanaume tunashauriwa tuwe tunatoa miguno

Wanaume tunashauriwa tuwe tunatoa miguno

Yani usipokuwa makini kama mwanaume ukifuata kila ujinga ndio dalili za kusapoti hizo, mara leo utaambiwa utoe mguno, kesho utaambia uruhusu akutie kidole cha kati kunako nya, yani full upumbavu na kuhamasisha kusapoti.
Tulia wewe uenjoy mapenzi Acha kukaza. Mapenzi na akili haviendi sambamba. 😅
 
Haina nafasi yoyote kikubwa mlipie marejesho mwenzio.
 
Naombeni Jina lake tafadhali au kama kuna mwenye Kumjua amwambie kuwa GENTAMYCINE huwa naunguruma maradufu ya Simba huyo wa Serengeti na Unguruma yangu nikiwa Nabandua / Namlala Mwanamke ni Kubwa kama ya Kundi Kubwa la Simba Dume lililoko Nyikani Ngorongoro.
 
Kusema kweli hata mimi ni mhanga wa kutafuna kimya kimya. Ila nimeshakutana na wanawake zaidi ya wanne wakanilalamikia waziwazi kwamba ninapokula kimya kimya wao wanaona kama sienjoy na hiyo inawakata stimu kuendelea kujituma. Najitahidi kubadilika siku hizi namimi naguna guna kinafki
Kinafiki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom