Njia ikiongezwa uwe na utaaalamu bobezi wa kuitereshea siyo mnaaacha wadada na makorongo utadhani Bonde la Uffa. Badilikeni na kama hamna utaalamu huo rudini shule.Inashangaza
Kwamba wasiongeze njia ili watoto wafe kwa birth asphyxia
Siku izi hatuchani tena sumi bado mnaongelea makovu
Hamjui kama kuna mazoezi ya pelvic muscles no wonder mnashindwa kuzuia mabao na kina mama wanatoa upepo kupitia birth canal
Mi sio dokta,, biology nilipata F, kingine asili ya kuzaa ni kwa kusukuma tangu kuumbwa kwa mwanadamu, halafu wewe yote yana shida waliozaa kwa upasuaji umesema wana makovu,, waliozaa kwa asili nao barabara 8😂😂vibamia nawapenda ila mna shida nyingi,, nimewaachaUnaweza kutuambia ni sababu ipi imefanya Wadada weeengi wakienda kujifungua wanataka Kuzaa kwa Kupasuliwa??
Kegel ndio ile kujifinyia ? 🤣Inarudi ukizingatia kanuni za uzazi,, kusex iwe ni baada ya wiki 6 tangu kujifungua ila hata ikizidi hapo inakuwa bora zaidi, mazoezi ya kegel yanarudisha maumbile chap tu,
Kwanini iishe? Mbona wanasemaga ukizaa ndio inazidi?Ila kweli wakunga huwaharibu sana hasa wanaoongezewa njia wanatakiwa wawashone vizuri na Ndio maana wanawake wengine wakishazaa hamu ya ngono kwisha
Hiyo hiyo, mfano ni ukiwa unapiga mswaki vile ukiwa unasukutua unajitapisha na chink huwa kunafunga hiyo ndo kegel sasa,, na nzuri zaidi ukiwa unakojoa usiuachie mkojo wote ukatishe hata mara 6, unakojoa na kuubana hasa wa asubuhi,, kitu inakuwa km haijapitisha kichwaKegel ndio ile kujifinyia ? 🤣
Kuna wanawake hulalamika hawakushonwa vizuri maumbile yao yameharibika
Mkuu,Wanabodi hali ni mbaya sana huku majumbani.
Madaktari Madakatari Madaktari....
Sijui mmevurugwa na nini? Sijui ni kwa maksudi au kwa sababu ya Utaalamu kiduchu au Mshahara hautoshi?
Au mmeamua kutukomesha?
Usiombe Mchumba /Mkeo wako ajifungue kwa njia ya kawaida kupitia kwenye Uzazi wake, na pengine akaongezewa njia.
Hutoamini macho yako utakachokutana nacho😭😭😭Madaktari wanaacha barabara ya njia 8, nakwambia utajuta! utapitisha mtambo wako wa WIDE LOAD na hutogusa ASSET yoyote barabarani utakuwa kama unaogelea kwenye pipa la maji.
Mchumba wako Alikuwa na Umbile lake zuuuri na Unafurahia maisha ndani ya dkk 5 msuguano unakutosha kumaliza kushusha mzigo lkn sasaa maweeeeeee utasumbuka weeeee uvute sura za akina Jokate, Kajala ujilazimishe humo bwawani weeeeee dkk 40 ndipo unaona matokeo!
Lahaulaaaaaa nyie Madaktari Mungu anawaona.
Kinachofuata ni Mchumba kuachwa na mtoto na Bwawa lake na mipango ya ndoa inakatika.
Mke wa Ndoa kinachotokea ni kutafutiwa Mchepuko, kutelekezwa au kupigwa talaka. MADKTARI TAMBUENI MMEUMIZA WENGI kwa kutozingatia weledi kwenye taaluma zenu.
Wadada wa Mjini wameamua liwalo na liwe wanataka kisu tuuu mtoto wa kwanza hadi 4. Mdada mzuuuuri akivua nguo ni makovu ya uzazi mpaka mzuka unakata.
Hivi nyie madaktari nasema na nyie tumewakosea wapi jamani.
Wanabodi nimejionea mengi mpaka kuleta huu uzi hapa.
Kama hana makovu ya Visu Tumboni basi huko kwingine barabara ni njia 8 hali hii hatupaswi kuifumbia macho wadau maana Wizara hata haina habari na hili janga na watu wanaona aibu kulisema wazi wazi lkn lipo na tatizo ni kubwa sana.
Mwenye akaunti ya Waziri Gwajima amfikishie huu ujumbe wa Wanaume tumechoka kuvurugiwa maua yetu na madaktari na wanashindwa kuyarejesha kwenye umbile lake, warudisheni shule wanaharibu maisha ya watu, huu ni ukatili wa kijinsia maaaaamae zenu madokta.
Hebu toeni maoni tutokeje hapa wakuu.
Wapo wengi sana sana tena maelfu kwa mamia.Kuna wanawake hulalamika hawakushonwa vizuri maumbile yao yameharibika
Kwanini tufike huko wakati Madaktari tunaweza ongea nao hapa hapa? Watwambie shida ni ippi?Mkuu,
Mbona wanasema siku hizi kuna dawa za kurejesha bikra?
Jaribu kutumia hiyo.
Mnatuonea madaktari, shida ni ukubwa wa kichwa Cha mwanao🤣Wanabodi hali ni mbaya sana huku majumbani.
Madaktari Madakatari Madaktari....
Sijui mmevurugwa na nini? Sijui ni kwa maksudi au kwa sababu ya Utaalamu kiduchu au Mshahara hautoshi?
Au mmeamua kutukomesha?
Usiombe Mchumba /Mkeo wako ajifungue kwa njia ya kawaida kupitia kwenye Uzazi wake, na pengine akaongezewa njia.
Hutoamini macho yako utakachokutana nacho😭😭😭Madaktari wanaacha barabara ya njia 8, nakwambia utajuta! utapitisha mtambo wako wa WIDE LOAD na hutogusa ASSET yoyote barabarani utakuwa kama unaogelea kwenye pipa la maji.
Mchumba wako Alikuwa na Umbile lake zuuuri na Unafurahia maisha ndani ya dkk 5 msuguano unakutosha kumaliza kushusha mzigo lkn sasaa maweeeeeee utasumbuka weeeee uvute sura za akina Jokate, Kajala ujilazimishe humo bwawani weeeeee dkk 40 ndipo unaona matokeo!
Lahaulaaaaaa nyie Madaktari Mungu anawaona.
Kinachofuata ni Mchumba kuachwa na mtoto na Bwawa lake na mipango ya ndoa inakatika.
Mke wa Ndoa kinachotokea ni kutafutiwa Mchepuko, kutelekezwa au kupigwa talaka. MADKTARI TAMBUENI MMEUMIZA WENGI kwa kutozingatia weledi kwenye taaluma zenu.
Wadada wa Mjini wameamua liwalo na liwe wanataka kisu tuuu mtoto wa kwanza hadi 4. Mdada mzuuuuri akivua nguo ni makovu ya uzazi mpaka mzuka unakata.
Hivi nyie madaktari nasema na nyie tumewakosea wapi jamani.
Wanabodi nimejionea mengi mpaka kuleta huu uzi hapa.
Kama hana makovu ya Visu Tumboni basi huko kwingine barabara ni njia 8 hali hii hatupaswi kuifumbia macho wadau maana Wizara hata haina habari na hili janga na watu wanaona aibu kulisema wazi wazi lkn lipo na tatizo ni kubwa sana.
Mwenye akaunti ya Waziri Gwajima amfikishie huu ujumbe wa Wanaume tumechoka kuvurugiwa maua yetu na madaktari na wanashindwa kuyarejesha kwenye umbile lake, warudisheni shule wanaharibu maisha ya watu, huu ni ukatili wa kijinsia maaaaamae zenu madokta.
Hebu toeni maoni tutokeje hapa wakuu.
Ndo hapo mtu kichwa kama changu unataka asifanyiwe episiotomy mtoto afe?Mnatuombea madakitari, shida ni ukubwa wa kichwa Cha mwanao🤣
Sisi hufanya ili kuokoa maisha ya mtoto then mama.Ndo hapo mtu kichwa kama changu unataka asifanyiwe episiotomy mtoto afe?
Ukijifungua kwanza unatakiwa uwe unakunja nne sio unajimwaga pili ufanye kegel
Wanataka uokoe pussy tupoteze neonatesSisi hufanya ili kuokoa maisha ya mtoto then mama.
Ukipigiwa epi pussy inakua zigi zaga🤣🤣🤣 utaeza sema clit zipo mbiliWanataka uokoe pussy tupoteze neonates
Hawa watu hawa😅😅
zinarudi vizri tu, itakua mawili kweli wamesahau kumshona au bi dada aliachia miguu baada ya kujifungua unatakiwa ubane miguu yako kuzuia upepo kuingiaNasikia zinajirudi mbona?