Wanaume tuongee na Madaktari

Inashangaza
Kwamba wasiongeze njia ili watoto wafe kwa birth asphyxia
Siku izi hatuchani tena sumi bado mnaongelea makovu
Hamjui kama kuna mazoezi ya pelvic muscles no wonder mnashindwa kuzuia mabao na kina mama wanatoa upepo kupitia birth canal
Njia ikiongezwa uwe na utaaalamu bobezi wa kuitereshea siyo mnaaacha wadada na makorongo utadhani Bonde la Uffa. Badilikeni na kama hamna utaalamu huo rudini shule.
Huko tuendako tutaanza kutaja Hospital za kuacha njia 8
 
Unaweza kutuambia ni sababu ipi imefanya Wadada weeengi wakienda kujifungua wanataka Kuzaa kwa Kupasuliwa??
Mi sio dokta,, biology nilipata F, kingine asili ya kuzaa ni kwa kusukuma tangu kuumbwa kwa mwanadamu, halafu wewe yote yana shida waliozaa kwa upasuaji umesema wana makovu,, waliozaa kwa asili nao barabara 8😂😂vibamia nawapenda ila mna shida nyingi,, nimewaacha
 
Kwa Mtu masikini wa akili ndo anaweza kupoteza muda wake kuangaika na wanawake Watz lakini Mtu mwenye akili hawezi uo ujinga mfano mtu akiwaza ngono namchukuliaga mjinginga hapa Wanawake wanajiuza Hadi kwa miatano tu hii inaonesha wanawake sio kitu Cha maana katika Dunia yetu ya leo hata wakiwa na Mabwawa watajua wenyewe
 
Tanzania hakuna madoctor MDs kuna mafundi mchundo wa miili ya binadamu na wauaji wa mtindo wa kuwandikia wagonjwa dawa sizo na Kwa makusudi ili bill iwe kubwa kafie mbele, una ugonjwa huna utaambiwa hata ambao haupo ili upewe dawa.

Nashukuru Mungu kaniepusha na zahma za hospital na kuugua siugui, Mungu ni mwema sana sana, hallelujah 🙏🙏🙏
 
Ila kweli wakunga huwaharibu sana hasa wanaoongezewa njia wanatakiwa wawashone vizuri na Ndio maana wanawake wengine wakishazaa hamu ya ngono kwisha
Kwanini iishe? Mbona wanasemaga ukizaa ndio inazidi?

Jana mwijaku nilimsikia anasema Ke akizaa kawaida anakatika 8 inajaaa. Akamrefaa Lina Sanga na Mobeto

Et wa kisu hamna hiyo kitu?

Mtuambie
Tuchague njia kabisa IJN
Cc To yeye Kapeace
 
Kegel ndio ile kujifinyia ? 🤣
Hiyo hiyo, mfano ni ukiwa unapiga mswaki vile ukiwa unasukutua unajitapisha na chink huwa kunafunga hiyo ndo kegel sasa,, na nzuri zaidi ukiwa unakojoa usiuachie mkojo wote ukatishe hata mara 6, unakojoa na kuubana hasa wa asubuhi,, kitu inakuwa km haijapitisha kichwa
 
Mkuu,
Mbona wanasema siku hizi kuna dawa za kurejesha bikra?
Jaribu kutumia hiyo.
 
Kuna wanawake hulalamika hawakushonwa vizuri maumbile yao yameharibika
Wapo wengi sana sana tena maelfu kwa mamia.
Nina kisa cha kweli kimemtokea rafiki yangu wa kike kafukuzwa na mmewe na jamaa kamchana kabisa hana hamu naye. Katika maelezo dada anakiri kwamba eneo lake la uzazi baada ya kujifungua ana uwezo wa kuingiza vidole vyake vinne vikiwa vimekunjuliwa pasipo shida. Sasa hizo ni sm ngapi zilizoachwa??? Pumbaaaaaav sana nyie madaktar wa madesa mnatesa watu mpaka wanakusa kwa depression
 
Mkuu,
Mbona wanasema siku hizi kuna dawa za kurejesha bikra?
Jaribu kutumia hiyo.
Kwanini tufike huko wakati Madaktari tunaweza ongea nao hapa hapa? Watwambie shida ni ippi?
Wameleta mpaka ulawiti/ulaji jicho/ fukua mtaro. Maaana mwanaume akiona penyewe ni bwawa anapita njia mbadala ili kukidhi haja chanzo ni nani? Daktari kaharibu maumbile ya asili watu wanapita kwa Mpalange sasa
 
Mnatuonea madaktari, shida ni ukubwa wa kichwa Cha mwanao🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…