Wanaume tuongee: Wimbi la wanawake kudai Mali linatisha!

Wanaume tuongee: Wimbi la wanawake kudai Mali linatisha!

Sela Son

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,120
Reaction score
7,317
Wakuu mnajua Nini! Kwanza salamu sana. Pia amani ya mola iwe juu yenu. Nimekuja jukwaani Leo si Kuleta misemo na nahau ngumu kuzin'gamua bali nimekuja la jambo wote kunisaidia.
Ni ajabu kwangu Leo wanawake wengi wamekumbwa na wimbi la wao kudai Mali nyingi hata kama wamezikuta huko walikoolewa! Wengine wanasababisha migogoro mikubwa Kwa uchepukaji, uzinifu na tabia nyingi za ovyo! Kuna kipindi mameni tunavumilia tunasema Sasa basi. Hatuwezi kuendelea nao. Shida inaanzia hapo ... Wamama hao hutaka mgao wa Mali pasu pasu mahakamani. Ukiniona ninavyotaabika kujenga tofali mojamoja nitalia sana shem wenu akidai pasupasu nikioa.. Nini hiki?
Tupeane mbinu ..Wanangu au mimi ndio Niko nyuma kwenye mambo ya dunia ya kisasa.
 
SHERIA ZA TANZANIA ZINARUHUSU KUMILIKI MALI NJE YA NDOA YAKO.
NENDA JUKWAA LA SHERIA KAJIFUNZE ZAIDI.

PIA KWAMBA HUU MWAMKO WA WANAWAKE KUMILI MALI NI MWITIKIO WA MATOKEO YALIYOWATOKEA WANAWAKE WENGI PALE WANAPOFIWA AU KUTALIKIA NA WAKABAKI WATUPU BILA SEHEMU YA KUANZIA.

LAZIMA KUNA SABABU ILIYOPELEKEA HII HALI.
 
Iga ile technique ya achraf hakimi
Wakuu mnajua Nini! Kwanza salamu sana. Pia amani ya mola iwe juu yenu. Nimekuja jukwaani Leo si Kuleta misemo na nahau ngumu kuzin'gamua bali nimekuja la jambo wote kunisaidia.
Ni ajabu kwangu Leo wanawake wengi wamekumbwa na wimbi la wao kudai Mali nyingi hata kama wamezikuta huko walikoolewa! Wengine wanasababisha migogoro mikubwa Kwa uchepukaji, uzinifu na tabia nyingi za ovyo! Kuna kipindi mameni tunavumilia tunasema Sasa basi. Hatuwezi kuendelea nao. Shida inaanzia hapo ... Wamama hao hutaka mgao wa Mali pasu pasu mahakamani. Ukiniona ninavyotaabika kujenga tofali mojamoja nitalia sana shem wenu akidai pasupasu nikioa.. Nini hiki?
Tupeane mbinu ..Wanangu au mimi ndio Niko nyuma kwenye mambo ya dunia ya kisasa.
 
Kesi za mgawanyo wa mali zinakua kwa sababu wanawake wamepata elimu ya sheria ya ndoa, tofauti na zamani mlivyokua mnawapa talaka na kuwafukuza mikono mitupu.

Mfano; Mke wako, hata kama alikua mama wa nyumbani analea watoto na mkadumu kwenye ndoa kwa miaka 20, kila kilichochumwa ndani ya kipindi hicho mlichokua mmeoana (siyo kabla ya ndoa) ni mali yake pia, hata kama kipo kwenye jina lako tu (Nyumba, biashara, magari, hisa, mashamba n.k)
 
Dah mdogo yangu yupo kwenye mapito haya hii ikiwa ni mara ya pili.kazi kwelikweli
Ngoja mie niendelee kukomaa ndoa yangu isivunjike ...haka kakorola kangu kasije kakaenda na maji
 
Wakuu mnajua Nini! Kwanza salamu sana. Pia amani ya mola iwe juu yenu. Nimekuja jukwaani Leo si Kuleta misemo na nahau ngumu kuzin'gamua bali nimekuja la jambo wote kunisaidia.
Ni ajabu kwangu Leo wanawake wengi wamekumbwa na wimbi la wao kudai Mali nyingi hata kama wamezikuta huko walikoolewa! Wengine wanasababisha migogoro mikubwa Kwa uchepukaji, uzinifu na tabia nyingi za ovyo! Kuna kipindi mameni tunavumilia tunasema Sasa basi. Hatuwezi kuendelea nao. Shida inaanzia hapo ... Wamama hao hutaka mgao wa Mali pasu pasu mahakamani. Ukiniona ninavyotaabika kujenga tofali mojamoja nitalia sana shem wenu akidai pasupasu nikioa.. Nini hiki?
Tupeane mbinu ..Wanangu au mimi ndio Niko nyuma kwenye mambo ya dunia ya kisasa.
Hakuna mambo mengi mmewafundisha kusaka pesa Sasa wanataka ziwe zao wazimiliki, hatuwawezi Tena we subiri uone kivumbi. Wanawake tangu lini wakatafta pesa? Hata mwanaume ukimiliki pesa hutaki zikubanduke itakuwa Mwanamke, wahudumieni wanawake sio msaidiane majukumu ndo wanasaidiwa na fikra huko kazini
 
Wakuu mnajua Nini! Kwanza salamu sana. Pia amani ya mola iwe juu yenu. Nimekuja jukwaani Leo si Kuleta misemo na nahau ngumu kuzin'gamua bali nimekuja la jambo wote kunisaidia.
Ni ajabu kwangu Leo wanawake wengi wamekumbwa na wimbi la wao kudai Mali nyingi hata kama wamezikuta huko walikoolewa! Wengine wanasababisha migogoro mikubwa Kwa uchepukaji, uzinifu na tabia nyingi za ovyo! Kuna kipindi mameni tunavumilia tunasema Sasa basi. Hatuwezi kuendelea nao. Shida inaanzia hapo ... Wamama hao hutaka mgao wa Mali pasu pasu mahakamani. Ukiniona ninavyotaabika kujenga tofali mojamoja nitalia sana shem wenu akidai pasupasu nikioa.. Nini hiki?
Tupeane mbinu ..Wanangu au mimi ndio Niko nyuma kwenye mambo ya dunia ya kisasa.
Suluhisho hapo ni kukataa ndoa .
 
Ewe mwanaume, Nunua viwanja mapema, pata hati ya serikali mapema iwe na jina lako tu, halafu ndio ujenge hapo. Kabla ya ndoa............... Kesi za aina hiyo (mwanaume ana kiwanja kabla ya ndoa na hati ina jina la mwanaume tu) ni vigumu mno mwanamke kushinda pindi mnaachana. Zaidi ya hapo atapata mgao mdogo mdogo
 
Wakuu mnajua Nini! Kwanza salamu sana. Pia amani ya mola iwe juu yenu. Nimekuja jukwaani Leo si Kuleta misemo na nahau ngumu kuzin'gamua bali nimekuja la jambo wote kunisaidia.
Ni ajabu kwangu Leo wanawake wengi wamekumbwa na wimbi la wao kudai Mali nyingi hata kama wamezikuta huko walikoolewa! Wengine wanasababisha migogoro mikubwa Kwa uchepukaji, uzinifu na tabia nyingi za ovyo! Kuna kipindi mameni tunavumilia tunasema Sasa basi. Hatuwezi kuendelea nao. Shida inaanzia hapo ... Wamama hao hutaka mgao wa Mali pasu pasu mahakamani. Ukiniona ninavyotaabika kujenga tofali mojamoja nitalia sana shem wenu akidai pasupasu nikioa.. Nini hiki?
Tupeane mbinu ..Wanangu au mimi ndio Niko nyuma kwenye mambo ya dunia ya kisasa.
Wakuu mnajua Nini! Kwanza salamu sana. Pia amani ya mola iwe juu yenu. Nimekuja jukwaani Leo si Kuleta misemo na nahau ngumu kuzin'gamua bali nimekuja la jambo wote kunisaidia.
Ni ajabu kwangu Leo wanawake wengi wamekumbwa na wimbi la wao kudai Mali nyingi hata kama wamezikuta huko walikoolewa! Wengine wanasababisha migogoro mikubwa Kwa uchepukaji, uzinifu na tabia nyingi za ovyo! Kuna kipindi mameni tunavumilia tunasema Sasa basi. Hatuwezi kuendelea nao. Shida inaanzia hapo ... Wamama hao hutaka mgao wa Mali pasu pasu mahakamani. Ukiniona ninavyotaabika kujenga tofali mojamoja nitalia sana shem wenu akidai pasupasu nikioa.. Nini hiki?
Tupeane mbinu ..Wanangu au mimi ndio Niko nyuma kwenye mambo ya dunia ya kisasa.
Wakuu mnajua Nini! Kwanza salamu sana. Pia amani ya mola iwe juu yenu. Nimekuja jukwaani Leo si Kuleta misemo na nahau ngumu kuzin'gamua bali nimekuja la jambo wote kunisaidia.
Ni ajabu kwangu Leo wanawake wengi wamekumbwa na wimbi la wao kudai Mali nyingi hata kama wamezikuta huko walikoolewa! Wengine wanasababisha migogoro mikubwa Kwa uchepukaji, uzinifu na tabia nyingi za ovyo! Kuna kipindi mameni tunavumilia tunasema Sasa basi. Hatuwezi kuendelea nao. Shida inaanzia hapo ... Wamama hao hutaka mgao wa Mali pasu pasu mahakamani. Ukiniona ninavyotaabika kujenga tofali mojamoja nitalia sana shem wenu akidai pasupasu nikioa.. Nini hiki?
Tupeane mbinu ..Wanangu au mimi ndio Niko nyuma kwenye mambo ya dunia ya kisasa.

Suluhisho la tatizo hili ni Kuwa mwangalifu Sana katika hatua zote kabisa za maisha yako kuhusiana na masuala haya ya Utafutaji wa Mali na Ndoa.

Watu wote kabisa katika jamii wanapaswa kuzingatia uwepo wa janga la
Marriage Contract versus Marriage Business Contract. Madhara ya kutokuzingatia masuala hayo ndio haya Sasa ya Wanawake matapeli wa ndoa kudai talaka ili waweze kunufaika kutokana na Mgawanyo wa mali.
Ili kudhibiti janga hili, yafuatayo yanapaswa kuzingatiwa:-

1. Kusainiana Pre-nuptial Contract baina ya Wanandoa Tarajali ndiyo itakuwa suluhisho kwa matatizo kama hayo.

2. Umiliki wa Mali kwa Hisa miongoni mwa Wanandoa (Co-occupation by Shares) pia itasaidia sana katika kupunguza migogoro ya namna hii.

Watawala wetu pamoja na Wananchi wote kwa ujumla wanapaswa wajifunze kutoka kwa Watu wa Urusi jinsi walivyojinasua kutokana na majanga ya namna hii kwenye ule mtafaruku wao mkubwa unaojulikana sana hapa duniani kwa jina la "The Game of Russian Roulette."
 
Back
Top Bottom