Hypersonic
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 829
- 1,564
Ngano na Magugu haviwezi kuhifadhiwa pamoja, vile vile mpunga na pumba haviwezi wekwa pamoja. Usifunge nira na wasioamini.Hafai kwasababu yupo na diamond mbona hii hoja ni dhaifu wewe ulitaka awe na nani ili aonekane mwema?
Hakuna binadamu ambao hawafanyi dhambi hata mchungaji unakuta anakula waimba kwaya na anaiba kanisani sadaka.Sema kinachowatesa nyie mnatoa hukumu kwa macho wewe unayemsema diamond unaweza kukuta wewe ndio unadhambi kuliko hata sema hujulikani.Yesu angekuwa anawabagua watu kungekuwa na wokovuNgano na Magugu haviwezi kuhifadhiwa pamoja, vile vile mpunga na pumba haviwezi wekwa pamoja. Usifunge nira
Sema Hilo lishangazi ni tamuKwa inavyoonekana Shusho Kaachwa.Hajaacha.NDOA imemshinda SO Hapo alipo bado ana wenge la TALAKA.Ananikumbusha Stori za Flora Mbasha.
😂😂😂Mama mshusha nyavu.
Leo mtani umeamua kunibariki....Kizuri huwa hakijitangazi kamwe, nadhani hakufikii hata robo tu ya uzuri wako Mtani [emoji28]
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Tunapopenda mara nyingi hatuangalii ubongo wa muhusika umebeba nini, macho ni kwenye sura na umbo lake,ukishamuweka ndani ndio sasa kilichoko kwenye ubongo kinafumka hapo ndio sasa vurugu linapoanzia...Yani huyu dada ananikera sana hakuna hata mtu wa kumshauri afunge huo mdomo wake
Inasikitisha sana sweetheart, ila mara zote kwenye mambo kama hayo best option ni kukaa kimya kama jamaa anavyofanya...Kiuhalisia Huyo Christina ndie kavurugwa kwani yeye ndie mara nyingi humuongelea huyo mzee! Kama wameachana afanye yake aache kutafuta kiki
.Cc Smart911
Kabisa lo.Inasikitisha sana sweetheart, ila mara zote kwenye mambo kama hayo best option ni kukaa kimya kama jamaa anavyofanya...
Mimi ni mke wake tangu lini 🙄🙄
when God want to destroy someone,make him or her mad,mwache shusho afanye atakalo,maana anguko lake lajaKwa kweli mzee wa watu anatia huruma hana wa kumsemea ameamua kunyamaza, ila nadhani akifungua mdomo Tina atatafuta pa kujificha.
Tina kila siku ni kumchamba mzee wa watu, yaani ukae kwenye ndoa miaka 20 ndio ugundue ni mbaya, kuna msanii mkubwa mmoja nasikia ndio anampa kiburi
Wanaume wapole ndio maana tunakufa mapema, Tina angeolewa na mswahili kama Mwijaku au Manara asingethubutu kumdhalilisha mzee wa watu, angeanikwa hadi siri zake za chumbani.