Wanaume tupeane mbinu za kukwepa vizinga vya "Ya soda" christmas hii

Wanaume tupeane mbinu za kukwepa vizinga vya "Ya soda" christmas hii

hawa viumbe hawa ahahahaha.. mimi kuna mmoja kanicheki ananiambia kuna siku nilimtafuta nikamwambia nimekosea namba
Hiki kipindi namba nyingi zinajigonga gonga

Nami nimejipanga nanyuti mpaka 28 ndio ntaanza mawasiliano

Baada ya hapo nawapa break kuanzia tarehe 30
 
Me nilishayajua haya nikawapanga mapema kuwa Niko chaka huku nafatilia mishe Fulani ya pesa, hvyo kuna tatizo la network. So nisipopatikana mda mrefu wasishangae.. Na wamejaa kabisa kudadadeq, nimewablock mazima. Na- make sure hadi mwaka mpya umepita ndo nitawa-unblock na maneno mazuri yakuwalainisha..
Sitakagi ujinga me aaalah..!!
😀😀😀😀
 
Halafu leo nimepokea simu namba ngeni, sauti nyororo imsema "mambo vipi" nikamjibu freshi halafu akakata simu

Hapa target yangu ni kumtafuta kesho kutwa au ikiwezekana niwe na subra nimcheki ijumaa
Utapewa money laundry ndo uta do
 
Mimi nishakula nyundo tatu,,mbili imebidi nitoe,,ila hii moja nimetupilia mbali kiroho mbaya..demu unampa hela hata kukutumia text ya asante nimeiona hatumi
Hahahaha nakuonaga mgumu kumbe lakini kinoma[emoji23][emoji23][emoji23]

Sema nini umetisha[emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nishakula nyundo tatu,,mbili imebidi nitoe,,ila hii moja nimetupilia mbali kiroho mbaya..demu unampa hela hata kukutumia text ya asante nimeiona hatumi
Alooo nimechekaaaa japo haichekeshii...

Piga C.care wairudisheee....
 
Ungeumwa ghafla na daktari akuzuie kupokea cm [emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa nishapigwa nyundo kama 2 hivi, na wote ni wanawake ambao naona hapo baadae wana manufaa, hi ndio hasara ya kujimwambafai maneno mengi sikukuu kama hii unaingia mitini!


Au kesho nizime simu nini wazee maana sielewi bajeti na matumizi haviendi sambamba!

Au nyie mnatumia njia gan kuruka hivi viunzi kwa mtu ambae hutaki kumpoteza??

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukizima simu wenzako watawafaidi, utakuta mskombo[emoji23]
Me nilishayajua haya nikawapanga mapema kuwa Niko chaka huku nafatilia mishe Fulani ya pesa, hvyo kuna tatizo la network. So nisipopatikana mda mrefu wasishangae.. Na wamejaa kabisa kudadadeq, nimewablock mazima. Na- make sure hadi mwaka mpya umepita ndo nitawa-unblock na maneno mazuri yakuwalainisha..
Sitakagi ujinga me aaalah..!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahahha mwanangu ,kama vile unazungumza namimi ..


Mpaka kufikia Muda HUU....Yasoda nimeombwa na mademu 11... Kati ya hizo , nmeshafanya muamala wa watu sita tu ...

Nyingine mimeweka Pending !!!


Sio kila demu ni Mpenzi .
 
Back
Top Bottom