Sheffer95
JF-Expert Member
- Mar 16, 2020
- 211
- 515
Nimekaa nikawaza sana kuhusu hili na naamini wanaume tuna deserve free pass ya kwenda mbinguni kwa baba škwasababu:
1. Tunarogwa na wake zetu tusichepuke
2. Tunarogwa na michepuko yetu tuijengeee na kusahau familia zetu
3. Tunarogwa makazini
4. Tunarogwa ukweni tusiwe na sauti kwenye familia zetu
5. Tunarogwa na ndugu zetu ili tusitoboe au tuwasaidie wao watoboe
Kwa haya machache hakika tutafika tukiwa tumechoka sana hata shetani mwenyewe kuna wakati anatuonea huruma
1. Tunarogwa na wake zetu tusichepuke
2. Tunarogwa na michepuko yetu tuijengeee na kusahau familia zetu
3. Tunarogwa makazini
4. Tunarogwa ukweni tusiwe na sauti kwenye familia zetu
5. Tunarogwa na ndugu zetu ili tusitoboe au tuwasaidie wao watoboe
Kwa haya machache hakika tutafika tukiwa tumechoka sana hata shetani mwenyewe kuna wakati anatuonea huruma